Ukraine Yapata Ndege 36 za Gripen kutoka Sweden.
Ukraine imefikia makubaliano na Sweden ya kupata jumla ya ndege 36 za kivita aina ya JAS 39 Gripen, katika hatua inayotarajiwa kuimarisha uwezo wa Jeshi la Anga la Ukraine. Kwa…
Ukraine imefikia makubaliano na Sweden ya kupata jumla ya ndege 36 za kivita aina ya JAS 39 Gripen, katika hatua inayotarajiwa kuimarisha uwezo wa Jeshi la Anga la Ukraine. Kwa…
Makamu wa Rais wa Marekani, JD Vance, amesema mazungumzo kati ya Marekani na Iran yamepiga hatua kubwa, huku pande hizo mbili zikiendelea kujadiliana kuhusu baadhi ya vipengele vya lugha ya…
DHAKA, BANGLADESH— Serikali ya Bangladesh imeingilia kati na kumwokoa nyati mmoja maarufu aliyepewa jina la “Donald Trump” saa chache tu kabla ya kuchinjwa kama mnyama wa kafara katika sikukuu ya…
Tehran – Jeshi la Wanamaji la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu wa Iran (IRGC) limetangaza kuwa jumla ya meli 23 za kibiashara, zikiwemo meli za mafuta na zile za kubeba…
TEL AVIV – Kituo cha televisheni cha Channel 12 cha Israel kimeripoti kuwa jeshi la nchi hiyo limekiri kuwepo kwa hitilafu katika mfumo wake wa kutoa onyo dhidi ya droni…
WASHINGTON:Mfuko rasmi unaosimamiwa na Benki ya Dunia chini ya mpango wa Rais wa Marekani Donald Trump wa kuijenga upya Gaza unaojulikana kama “Bodi ya Amani” (Board of Peace), umeripotiwa kuwa…
BANDAR ABBAS, IRAN — Chanzo cha kuaminika cha kijeshi kimeiambia Wakala wa Habari wa Tasnim kuwa, usiku wa kuamkia Alhamisi, meli moja ya mafuta ya Marekani ilijaribu kupita kwa siri…
WASHINGTON — Uchambuzi mpya umeeleza kuwa Marekani huenda ikahitaji kati ya miaka mitatu hadi mitano kujenga upya akiba zake muhimu za makombora, baada ya kutumika kwa kiwango kikubwa katika vita…
(TEXAS, MAREKANI) – Katika pigo jingine kubwa kwa mrengo wa chama cha Republican, Ken Paxton, anayeungwa mkono kwa dhati na Rais Donald Trump, amemshinda Seneta wa muda mrefu wa Marekani,…
Mgogoro wa kisiasa wa Senegal umeshika kasi huku Rais wa nchi hiyo Bassirou Diomaye Faye akimteua mchumi Ahmadou Al Aminou Lo katika nafasi ya Waziri Mkuu akichukua nafasi ya Ousmane…