Skip to content
  • Wed. Jun 17th, 2026

  • AFRIKA
  • MASHARIKI YA KATI
  • KIMATAIFA
  • UCHAMBUZI
  • MAONI
  • MICHEZO
Top Tags
  • utaridi
  • habari
  • Masharikiyakati
  • Marekani
  • Iran
  • Israel
  • Trump

Hivi Punde

Hillary Clinton: Kwa muda mrefu Netanyahu amekuwa na shauku iliyopitiliza ya kuiangamiza Iran Elon Musk Aweka Rekodi ya Kipekee ya Utajiri Duniani Baada ya Hisa za SpaceX Kupanda Korea Kusini yatangaza kupunguza vizuizi katika ukanda wa mpaka na Korea Kaskazini Ufaransa Yatafuta Mshirika Mpya wa Kijeshi kwa UAE Baada ya Mradi wa FCAS Kukwama China na Myanmar Zaimarisha Ushirikiano wa Kiuchumi na Kiusalama
KIMATAIFA

Hillary Clinton: Kwa muda mrefu Netanyahu amekuwa na shauku iliyopitiliza ya kuiangamiza Iran

June 17, 2026

WASHINGTON D.C. — Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Hillary Clinton, ametoa ufafanuzi wa kina kuhusu mahusiano yake ya kidiplomasia na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, akimtaja…

KIMATAIFA

Elon Musk Aweka Rekodi ya Kipekee ya Utajiri Duniani Baada ya Hisa za SpaceX Kupanda

June 17, 2026

WASHINGTON, Marekani – Bilionea Elon Musk amevunja rekodi ya kihistoria baada ya utajiri wake kuongezeka kwa takriban dola bilioni 164.8 ndani ya siku moja tu, kufuatia kupanda kwa thamani ya…

KIMATAIFA

Korea Kusini yatangaza kupunguza vizuizi katika ukanda wa mpaka na Korea Kaskazini

June 17, 2026

Serikali ya Korea Kusini imetangaza mpango mpya wa kupunguza baadhi ya vizuizi katika ukanda unaodhibitiwa na jeshi kando ya mpaka na Korea Kaskazini. Hatua hiyo itahusisha kusogeza Mstari wa Kudhibiti…

KIMATAIFA

Ufaransa Yatafuta Mshirika Mpya wa Kijeshi kwa UAE Baada ya Mradi wa FCAS Kukwama

June 17, 2026

PARIS/ABU DHABI – Ufaransa inafanya mazungumzo ya siri na Falme za Kiarabu (UAE) kwa ajili ya kuunda ushirikiano mpya wa kiulinzi, hatua inayotajwa kuwa ni mbadala wa kimkakati kufuatia kusambaratika…

KIMATAIFA

China na Myanmar Zaimarisha Ushirikiano wa Kiuchumi na Kiusalama

June 17, 2026

BEIJING, CHINA – Rais wa China, Xi Jinping, amekutana na kiongozi wa Myanmar, Min Aung Hlaing, mjini Beijing, katika mkutano uliolenga kuimarisha ushirikiano wa kimkakati kati ya nchi hizo mbili.…

KIMATAIFA

Utawala wa Trump Wapanga Mikakati Mipya ya Kurejesha Usafiri wa Meli katika Lango la Hormuz

June 17, 2026

WASHINGTON D.C. – Utawala wa Rais Donald Trump umeanza mchakato wa kutafuta njia mbadala za kurejesha kikamilifu usafirishaji wa meli za mafuta kupitia Lango la Hormuz, hatua inayolenga kuimarisha biashara…

KIMATAIFA

Hillary Clinton: Netanyahu Anatumia Vita Kujinusuru Kisiasa

June 17, 2026

Mwanasiasa mkongwe wa Marekani, Hillary Clinton, amedai kuwa Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, anaamini kuwa vita vinaweza kumsaidia kisiasa wakati huu ambapo anakabiliwa na shinikizo kubwa kutoka pande mbalimbali…

KIMATAIFA

“Hatupokei wachochezi” Austria yampiga marufuku waziri wa Israel, Itamar Ben-Gvir

June 16, 2026

VIENNA, AUSTRIA – Shinikizo dhidi ya viongozi wenye msimamo mkali nchini Israel limezidi kupamba moto barani Ulaya baada ya nchi ya Austria kutangaza kuunga mkono pendekezo la kupigwa marufuku kwa…

KIMATAIFA

“Bila mimi, Israel haitakuwepo” – rais Trump apiga mkwara mzito, akosoa mashambulizi ya Beirut

June 16, 2026

WASHINGTON, MAREKANI Rais wa Marekani, Donald Trump, amedai kuwepo kwa taifa la Israel kunategemea mchango wake binafsi, huku akionyesha kutoridhishwa na namna nchi hiyo inavyoendesha operesheni zake za kijeshi nchini…

KIMATAIFA

Uingereza kufadhili Nishati ya Nyuklia Ukraine: Mkakati wa Pauni Milioni 210 Wafikiwa G7

June 16, 2026

Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametoa ahadi nzito katika mkutano wa kilele wa G7 kwa kuweka bayana mkakati mpya wa kuimarisha usalama wa nishati nchini Ukraine. Katika hatua inayolenga…

Posts pagination

1 2 … 39

Za Sasa Hivi

  • Hillary Clinton: Kwa muda mrefu Netanyahu amekuwa na shauku iliyopitiliza ya kuiangamiza Iran
  • Elon Musk Aweka Rekodi ya Kipekee ya Utajiri Duniani Baada ya Hisa za SpaceX Kupanda
  • Korea Kusini yatangaza kupunguza vizuizi katika ukanda wa mpaka na Korea Kaskazini
  • Ufaransa Yatafuta Mshirika Mpya wa Kijeshi kwa UAE Baada ya Mradi wa FCAS Kukwama
  • China na Myanmar Zaimarisha Ushirikiano wa Kiuchumi na Kiusalama

Maoni Mapya

No comments to show.

Hifadhi yetu

  • June 2026
  • May 2026
  • April 2026

Vitengo

  • AFRIKA
  • KIMATAIFA
  • MAONI
  • MASHARIKI YA KATI
  • MICHEZO
  • UCHAMBUZI
  • Uncategorized

Yaliyokupita

KIMATAIFA

Hillary Clinton: Kwa muda mrefu Netanyahu amekuwa na shauku iliyopitiliza ya kuiangamiza Iran

June 17, 2026
KIMATAIFA

Elon Musk Aweka Rekodi ya Kipekee ya Utajiri Duniani Baada ya Hisa za SpaceX Kupanda

June 17, 2026
KIMATAIFA

Korea Kusini yatangaza kupunguza vizuizi katika ukanda wa mpaka na Korea Kaskazini

June 17, 2026
KIMATAIFA

Ufaransa Yatafuta Mshirika Mpya wa Kijeshi kwa UAE Baada ya Mradi wa FCAS Kukwama

June 17, 2026

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.