Malaysia yasimama imara dhidi ya tisho la Marekani kuhusu msimamo wake kwa Israel
WASHINGTON, MAREKANI — Balozi wa Malaysia nchini Marekani ameitwa kwa dharura katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani (State Department) jijini Washington, kufuatia shinikizo kubwa kutoka kwa wabunge wa…
Marekani ashindwa, aungana na Uingereza kusaka muungano wa kimataifa kufungua Hormuz
Serikali ya Marekani, ikishirikiana na Uingereza, inapanga kuandaa mkutano wa ngazi ya juu wiki ijayo mjini London lengo likiwa ni kuunda muungano wa kimataifa wa kijeshi ili kulinda na kufungua…
Iran yatangaza kisasi cha “mwanajeshi mmoja wa Marekani kwa kila raia wake atakayeuawa”
Kamanda wa Makao Makuu ya Khatam al-Anbiya, Meja Jenerali Ali Abdollahi, amesema Iran imeweka kanuni mpya ya kulipiza kisasi, akionya kuwa kifo cha kila raia wa Iran katika mashambulizi ya…
Netanyahu na Katz waamuru operesheni kubwa dhidi ya vijiji vya Palestina Ukingo wa Magharibi
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu na Waziri wa Ulinzi Israel Katz wameagiza operesheni kubwa ya kijeshi katika vijiji vya Palestina kwenye Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu, baada ya…
Utafiti wa TIFA Wafichua Dilema ya Gachagua, Ruto Aongoza Huku Upinzani Ukisaka Umoja
Je, Rigathi Gachagua anapaswa kuwania urais au kuweka kando matarajio yake na kumuunga mkono mgombeaji mwenye uwezo mkubwa zaidi wa kumshinda Rais William Ruto? Hilo ndilo swali linalotawala siasa za…
Trump aonya China na Urusi dhidi ya kuiuzia Iran silaha
Rais wa Marekani Donald Trump amezionya China na Urusi dhidi ya kuipatia Iran silaha, akisema hatua hiyo ingekuwa na madhara makubwa kwa nchi hizo wakati vita kati ya Washington na…
Maharamia wa Somalia waiteka meli yenye bendera ya Tanzania Ghuba ya Aden
Meli ya mafuta na kemikali MT ASANA imetekwa baada ya kuondoka Mukalla, Yemen, na kupelekwa katika pwani ya Puntland nchini Somalia. MOGADISHU, SOMALIA — Meli ya mafuta na kemikali inayosafiri…
Pentagon yapunguza idadi ya wanajeshi wa Marekani waliouawa katika vita vya Iran kutoka 18 hadi 14
Maafisa wa kijeshi na msemaji wa Pentagon wametoa maelezo yanayokinzana kuhusu kuondolewa kwa majina ya wanajeshi wanne waliouawa baada ya tangazo la usitishaji mapigano. WASHINGTON, MAREKANI — Pentagon imepunguza ghafla…
Iran yakataa pendekezo jipya la Marekani la kusitisha mapigano kuhusu mgogoro wa Hormuz
Pendekezo hilo liliwasilishwa Tehran na Waziri Mkuu wa Iraq, Ali al-Zaidi, baada ya kukutana na Rais Donald Trump mjini Washington, lakini Iran ikasema halikutoa suluhisho kuhusu udhibiti wa Mlango-Bahari wa…
Waingereza Wakosa Imani na Jeshi Lao: Ni Asilimia 6 Pekee Tayari Kujitolea Kulinda Nchi
Ni asilimia 6 pekee ya Waingereza walio tayari kujitolea kujiunga na jeshi iwapo nchi yao itakabiliwa na uvamizi, huku wengi wakikosa imani na uwezo wa vikosi vya Uingereza kuilinda nchi.…