Mwakilishi wa Marekani: Vita vya Trump dhidi ya Iran ni janga kubwa
Mjumbe wa chama cha Democratic katika Baraza la Wawakilishi la Marekani, Jason Crow, amesema kuwa vita vilivyoanzishwa na Rais Donald Trump dhidi ya Iran vimekuwa janga kubwa lenye gharama kubwa.Akihoji…
Trump kufanya mkutano wa dharura kuhusu Iran Jumatano hii
Rais Donald Trump anatarajiwa kufanya mkutano katika Chumba cha kusimamia migogoro (Situation Room) jijini White House siku ya Jumatatu kuhusu suala la Iran, pamoja na timu yake ya juu ya…
Watangazaji wa Ireland na Hispania wasusia Eurovision baada ya ushiriki wa Israel
Watangazaji wa umma nchini Ireland na Hispania wametangaza kususia shindano la mwaka huu la Eurovision Song Contest wakipinga ushiriki wa Israel.Shirika la utangazaji la Hispania, RTVE, limethibitisha kuwa halitarusha matangazo…
Oman na Iran zafanya mazungumzo juu ya usalama wa Hormuz
Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman amesema kuwa mazungumzo aliyofanya na mwenzake wa Iran kuhusu Mlango wa Hormuz yalikuwa na tija.Ameeleza kuwa kuna umuhimu wa kuimarisha juhudi za kidiplomasia…
Netanyahu akemewa mtandaoni baada ya kulaani jaribio la mauaji ya Trump
Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, amejikuta katika wimbi zito la ukosoaji kwenye mitandao ya kijamii kufuatia kauli yake ya kulaani matumizi ya nguvu, muda mfupi baada ya jaribio la…
Kenya na Uganda Kuwekeza Tanzania
Kenya na Uganda ziko kwenye mazungumzo ya kujenga kiwanda cha kusafisha mafuta nchini Tanzania ili kupunguza utegemezi wa bidhaa za petroli zinazoagizwa kutoka nje, na kuhudumia nchi zinazozalisha mafuta ndani…