Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani,Iran sasa ina nguvu ya kushinikiza
Antony Blinken, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, amesema kuwa hali ya sasa inaonyesha kuwa Iran imepata nafasi ya kutumia nguvu ya ushawishi katika mwelekeo wa mazungumzo na…
UAE imetuma Dola Milioni 100 kwa “Bodi ya Amani” ya Trump kwa mafunzo ya kikosi kipya cha polisi cha Gaza
Falme za Kiarabu (UAE) zimetoa dola milioni 100 kwa taasisi inayoungwa mkono na Marekani ijulikanayo kama "Board of Peace" kwa ajili ya kufadhili mafunzo ya kikosi kipya cha polisi wa…
Rais Pezeshkian Amemsifia Kiongozi Muadhamu baada ya kukutana naye kwa muda wa masaa 2
Rais Masoud Pezeshkian amesimulia kwa kina mkutano wake wa hivi karibuni na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyyed Mojtaba Khamenei, akielezea hali ya kikao hicho pamoja na sifa…
Crystal Palace yatinga fainali ya Conference League Ulaya baada ya kuifunga tena Shakhtar Donetsk
Crystal Palace imefanikiwa kutinga fainali ya Ligi ya Mkutano Ulaya baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Shakhtar Donetsk ya Ukraine katika mchezo wa marudiano wa nusu…
Urusi na China kupinga azimio la Marekani la Hormuz dhidi ya Iran katika umoja wa mataifa
Urusi na China zinatarajiwa kupiga kura ya turufu dhidi ya rasimu ya azimio lililowasilishwa na Bahrain na Marekani kuhusu hali ya usalama katika Mlango wa Hormuz, kwa mujibu wa ripoti…
CBS: Mashambulizi mapya dhidi ya meli za kivita za Marekani yalikuwa makali zaidi kuliko yale ya siku chache zilizopita
Washington, Marekani — Vyanzo vya shirika la habari la CBS vimeripoti kuwa meli za kivita za Marekani, USS Truxtun na USS Mason, zimeshambuliwa vikali na vikosi vya Iran katika Bahari…
Trump: mashambulizi dhidi ya iran ni love tap “mguso mdogo tu”, usitishaji vita bado unaendelea
Rais Donald Trump amesema katika mahojiano na ABC News kwamba mashambulizi dhidi ya Iran yalikuwa “mguso mdogo tu,” akisisitiza kuwa makubaliano ya usitishaji vita bado yanaendelea kutekelezwa. Akizungumza na kituo…
Rais wa Sudan Kusini awafuta kazi Mkuu wa Jeshi na Waziri wa Fedha
Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini amewafukuza kazi Mkuu wa Jeshi na Waziri wa Fedha. Waziri wa Fedha alikuwa amehudumu katika wadhifa huo chini ya wiki mbili. Hatua hiyo ni…
Marekani Imekiuka Mkataba wa Kusitisha Vita, Imelenga Meli ya Mafuta ya Iran Karibu na Mlango wa Hormuz
Iran imedai kuwa majeshi ya Marekani yamekiuka makubaliano ya kusitisha mapigano baada ya kushambulia tanker ya mafuta ya Iran iliyokuwa ikielekea Mlango wa Hormuz kutoka maji ya pwani karibu na…
Saudi Arabia yafunga anga na kambi zake za kijeshi kwa Marekani
Vyanzo vyenye taarifa katika eneo la Ghuba ya Uajemi vimeripoti kuwa Saudi Arabia imefunga anga yake pamoja na baadhi ya kambi zake za kijeshi kwa matumizi ya Marekani. Hatua hiyo…