Jeshi la Iran lapiga meli za Marekani baada ya Marekani kukiuka maagano ya usitishaji wa vita
Msemaji wa Makao Makuu ya Khatam al‑Anbiya ametangaza kuwa jeshi la Marekani limetekeleza mashambulizi dhidi ya meli za Iran na maeneo ya pwani, kitendo ambacho kimetajwa kuwa uvunjaji wa makubaliano…
Mvutano wazuka Real Madrid: Valverde na Tchouaméni wadaiwa kupigana mazoezini
Klabu ya Real Madrid imekumbwa na taarifa za sintofahamu baada ya ripoti kutoka vyombo mbalimbali vya habari vya kimataifa kudai kuwa viungo wa timu hiyo, Federico Valverde na Aurélien Tchouaméni,…
China yawahukumu kifo mawaziri wawili wa zamani wa ulinzi
Beijing — Katika hatua ya kushangaza huku kukiendelea msako ndani ya jeshi lake, China siku ya Alhamisi iliwapa mawaziri wake wawili wa zamani wa ulinzi adhabu ya kifo iliyoahirishwa kwa…
Ufaransa: “Tunalipa gharama ya vita ambavyo hatukuvichagua”
Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa ameonya kuwa uwezekano wa kuondoa vikwazo dhidi ya Iran haupo kabisa hadi pale Mlango wa Hormuz utakapofunguliwa, akibainisha msimamo mkali wa Paris kuhusu…
Didier Drogba Tanzania
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mshambuliaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya Ivory Coast na Timu ya Chelsea ya Uingereza…
Washington Post: uharibifu uliofanywa na Iran ni mkubwa kuliko maelezo
Uchambuzi wa picha za satelaiti uliofanywa na gazeti la Washington Post unaonyesha kuwa tangu kuanza kwa vita, mashambulizi ya Iran yameharibu au kuathiri angalau miundombinu na vifaa 228 katika vituo…
Trump Aitaka Iran Kutoa Jibu la Haraka kwa Pendekezo lake la Amania
Kituo cha Al-Arabiya kikinukuu chanzo cha serikali ya Pakistan kimeripoti kuwa Rais wa Marekani ameiomba Iran kutoa jibu la haraka kwa pendekezo la amani lililotumwa na Washington. Kwa mujibu wa…
Rais Tshisekedi aazimia kugombea muhula wa tatu wa urais, Kongo
Rais Félix Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amezungumzia uwezekano wa kugombea kiti cha urais kwa muhula wa tatu, akisema atakubali kuendelea kuiongoza nchi hiyo iwapo ataungwa mkono na…
Wakristo nchini Lebanon walaani vikali jeshi vamizi la Israel kukosea heshima matukufu yao
Wakatoliki nchini Lebanon wameeleza masikitiko yao kufuatia picha iliyoenea mtandaoni ikimuonyesha askari wa Israeli akivuta sigara akiwa ameishirikisha sanamu ya Bikira Maria. Tukio hilo liliripotiwa kutokea katika kijiji cha Kikristo…
China yalaani vikali uvamizi wa Iran yasema ipo thabiti pamoja nayo
Waziri wa Mambo ya Nje wa China, Wang Yi, ametangaza kuwa operesheni ya kijeshi inayoendelea dhidi ya Iran ni kinyume cha sheria, huku akisisitiza kuwa Beijing inaendelea kuiunga mkono Tehran…