Smotrich: Israel haina nia ya kujiingiza katika mzozo wa Marekani na Iran
Waziri wa Fedha wa Israel amesema hali ya sasa kati ya Marekani na Iran inanufaisha Israel, akisema Jerusalem haitaki kupanua ushiriki wake katika mvutano huo wa kijeshi. Waziri wa Fedha…
Kamanda wa Jeshi la Ardhi la IRGC akagua vikosi vya operesheni katika visiwa vya kimkakati vya Ghuba ya Uajemi
Jenerali Mohammad Karami ametembelea vitengo vya kijeshi vinavyosimamiwa na Kamandi ya Mbele ya Madina Munawara, akitathmini utayari wa kivita na hali ya operesheni za vikosi hivyo katika maeneo ya pwani…
Wasira aiweka sawa Jumuiya ya Madola: “Tanzania haisubiri kuamrishwa”
Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesema Tanzania iko tayari kupokea ushauri kutoka kwa washirika wa kimataifa, lakini haitakubali maagizo yanayoingilia masuala yake ya ndani.w Makamu Mwenyekiti wa…
Pentagon yashutumiwa kuficha taarifa za majeruhi wa wanajeshi wa Marekani katika vita na Iran
Ripoti ya CNN yadai Idara ya Ulinzi ya Marekani imekuwa ikichelewesha kutangaza idadi ya wanajeshi waliojeruhiwa kutokana na mashambulizi ya Iran, ikisema hatua hiyo inalenga kulinda usalama wa wanajeshi wake.Idara…
Ujasusi wa Israel wadai Iran ilihamisha maelfu ya mashine za kurutubisha urani katika kituo cha chini ya ardhi karibu na Natanz
Tel Aviv/Tehran — Ujasusi wa Israel umetathmini kuwa Iran ilihamisha maelfu ya mashine za kurutubisha urani (nuclear centrifuges) kwenda katika eneo la Mlima Pickaxe, kituo cha nyuklia kilicho chini ya…
Khalil al-Hayya achukua hatamu hamas: msimamo wa ukombozi waendelea kuimarika
GAZA/DOHA – Harakati ya Mapambano ya Kiislamu (HAMAS) imemteua rasmi Khalil al-Hayya kuwa Mkuu mpya wa Ofisi ya Kisiasa ya harakati hiyo, ikijaza nafasi iliyoachwa wazi na kiongozi shupavu, Yahya…
Pakistan na Qatar zapendekeza mpango wa kusitisha mapigano kati ya Marekani na Iran
Wakati ngoma ya vita ikiendelea kurindima katika Mlango-bahari wa Hormuz, diplomasia ya dharura imeanza kuchukua mkondo mpya. Pakistan na Qatar zimejitokeza na mpango wa dharura wa kuziokoa Washington na Tehran…
Uchambuzi: Kwa Nini Washington Inaweza Kushindwa Kustahimili Vita vya Muda Mrefu na Iran likijibu
Uwezo wa kijeshi wa Marekani uko hatarini. Ripoti mpya kutoka kwa The Telegraph imeibua swali zito: Je, Washington ina rasilimali za kutosha za kuendeleza vita vikubwa dhidi ya Iran? Jibu,…
Marco Rubio: Milango ya Marekani iko wazi kwa ajili ya mazungumzo na Iran
Katibu wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio, ametoa ishara tata za sera ya kigeni ya nchi hiyo kwa kudai kuwa Marekani iko tayari kufanya mazungumzo na Iran, wakati…
Ofisi ya Netanyahu yalaani tamko la Meya wa New York kuhusu kukamatwa kwake
Ofisi ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, imelaani vikali kauli ya Meya wa New York, Zohran Mamdani, kufuatia hatua yake ya kusema kuwa anatafakari uwezekano wa kumkamata kiongozi huyo…