Moshe Ya’alon akiri kushindwa kwa Operesheni za kijeshi dhidi ya Iran
TEL AVIV, ISRAEL – Moshe Ya’alon, aliyekuwa Waziri wa Ulinzi wa utawala wa Israel, ametoa kauli nzito ya kukiri kuwa mashambulizi ya kijeshi yaliyoelekezwa dhidi ya Iran hayakufikia malengo yoyote…
MILIPUKO YARIPOTIWA KATIKA MJI WA JASK, IRAN
AJASK, IRAN – Sauti za milipuko isiyopungua mitatu zimesikika katika mji wa pwani wa Jask, ulioko katika mkoa wa Hormozgan nchini Iran, kulingana na vyanzo vya eneo hilo. Hadi sasa,…
Marekani yatafuta suluhu ya kidiplomasia Hormuz, yaitaka Iran kuchagua mazungumzo
WASHINGTON – Waziri wa Nishati wa Marekani amesema serikali ya Washington inaendelea kuchukua hatua kuhakikisha mtiririko wa mafuta na gesi kupitia Mlango wa Hormuz unaendelea, huku akisisitiza kuwa Rais Donald…
UAE yaomba mazungumzo yarejee na mashambulizi ya miundombinu yakome
Abu Dhabi, Falme za Kiarabu (UAE) — Serikali ya Falme za Kiarabu imesema ina wasiwasi mkubwa kuhusu ongezeko la mvutano wa kijeshi katika eneo la Mashariki ya Kati, ikitoa wito…
Trump Aomboleza Vifo vya Wanajeshi Marekani Jordan, Aendelea Kutoa Onyo kwa Iran
Washington, Marekani — Rais wa Marekani Donald Trump amesema anasikitishwa na kifo cha wanajeshi wawili wa Marekani waliouawa nchini Jordan, huku akisisitiza kuwa Iran haitakiwi kumiliki silaha za nyuklia. Kauli…
Iran Yalenga Miundombinu ya Kijeshi Kuwait, Ndege Mbili za Kivita Zaharibiwa
KUWAIT CITY – Ndege mbili za kivita aina ya Eurofighter Typhoon za Jeshi la Anga la Kuwait zimeripotiwa kuharibiwa baada ya shambulio la kombora la balestiki la Iran kulenga makazi…
CENTCOM yakiri vifo vya wanajeshi wawili wa Marekani nchini Jordan baada ya mashambulizi ya Iran
Marekani imethibitisha kuwa wanajeshi wake wawili wameuawa nchini Jordan na mwingine bado hajulikani alipo, kufuatia mashambulizi ya makombora na ndege zisizo na rubani (drones) yanayodaiwa kufanywa na Iran. Kamandi Kuu…
The Guardian: Trump, Sio Iran, Ndiye Tishio Kubwa Zaidi kwa Dunia
Mgogoro kati ya Marekani na Iran umeingia katika hatua yenye wasiwasi mkubwa, huku mashambulizi ya kijeshi yakiendelea kuongeza hofu ya vita vya muda mrefu ambavyo vinaweza kuathiri siasa za kimataifa,…
Ujumbe wa Kiongozi Mkuu wa Iran kuhusu tukio kubwa la kumuaga kiongozi aliyeuwawa na kueleza masuala muhimu ya nchi
Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema, Mwenye Kurehemu Enyi wananchi wakuu na wenye kushangaza wa Iran! Salamu, heshima na shukrani kwenu kwa sababu kupitia tukio lenu kubwa, la…
Kundi la mtandao la Iran laharibu terabaiti 120 za taarifa za kifedha za Israel
Kundi linaloitwa Jukwaa la Msaada wa Kielektroniki (Cyber Support Front) limedai kufanya shambulio kubwa la kimtandao dhidi ya taasisi za kifedha za Israel, likisema limeharibu takribani terabaiti 120 za taarifa…