Macron kuzuru Nigeria katika hatua mpya ya kuimarisha uhusiano wa kimkakati na Abuja
Macron kuzuru Nigeria katika hatua mpya ya kuimarisha uhusiano wa kimkakati na Abuja Ufaransa na Nigeria zinaelekea kufungua ukurasa mpya wa ushirikiano wa kisiasa na kiuchumi, huku Rais Emmanuel Macron…
Utata Israel: Mpango wa Ben-Gvir wa Kutumia Mamba Kulinda Gereza la Wapalestina Wazua Mjadala
TEL AVIV – Serikali ya Israel imeripotiwa kuondoa vikwazo vya kisheria vinavyohusiana na ufugaji wa mamba, hatua inayofungua njia kwa mpango wa Waziri wa Usalama wa Taifa, Itamar Ben-Gvir, wa…
Mashambulizi ya Marekani Hormozgan Yaua Watu 8, Mtoto wa Mwaka Mmoja Apoteza Kiungo
HORMOZGAN, IRAN – Mashambulizi ya Marekani katika Mkoa wa Hormozgan kusini mwa Iran yamesababisha vifo vya watu wanane na majeraha makubwa kwa mtoto wa mwaka mmoja, kwa mujibu wa taarifa…
IRGC: Meli Mbili za Mafuta Zaharibiwa Baada ya Kuingia Eneo Marufuku Lililotegwa Mabomu
TEHRAN – Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) limesema kuwa meli mbili za kubeba mafuta zimelipuka na kushika moto baada ya kuingia katika eneo lililotegwa mabomu…
Marekani : Wabunge Walioiunga Mkono Kusitishwa kwa Misaada kwa Israel waadhibiwa na AIPAC
WASHINGTON, D.C. – Kundi lenye ushawishi mkubwa wa kushawishi sera za Marekani zinazoiunga mkono Israel, American Israel Public Affairs Committee (AIPAC), linaonekana kusitisha michango ya kisiasa kwa baadhi ya wabunge…
China na Pakistan Zatoa Wito kwa Marekani na Iran Kusitisha Vita na Kurejea Mazungumzo
SHANGHAI, CHINA – China na Pakistan zimetoa wito kwa Marekani na Iran kusitisha mapigano mara moja na kurejea kwenye meza ya mazungumzo, zikionya kuwa kuendelea kwa mzozo huo kunatishia amani…
Iran Yashambulia Kiwanda cha Maji na Umeme Kuwait Baada ya Marekani Kusambaratisha Miundombinu Yake ya Kiraia
KUWAIT CITY – Serikali ya Kuwait imetangaza kuwa mashambulizi ya Iran yaliyofanyika Ijumaa yamesababisha uharibifu mkubwa katika kituo cha kuzalisha umeme na kusafisha maji ya bahari (desalination), tukio linalozua hofu…
Pigo kwa UDA: DCP Yashinda Uchaguzi Mdogo wa Ol Kalou
OL KALOU, KENYA – Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya (IEBC) imemtangaza mgombea wa chama cha Democracy for the Citizens Party (DCP), Samuel Kamau Waweru, kuwa mshindi wa…
Marekani Yashambulia Madaraja Matano, Reli na Viwanja vya Ndege Kusini mwa Iran
HORMOZGAN, IRAN – Marekani imeanzisha wimbi jipya la mashambulizi ya anga dhidi ya kusini mwa Iran, ikilenga madaraja matano, reli na viwanja vya ndege katika Mkoa wa Hormozgan, hatua inayoonekana…
Ripoti: Vita dhidi ya Iran Vyasukuma Mashirika ya Ndege Ulaya Kwenye Hatari ya Kufilisika
Mashirika kadhaa madogo ya ndege barani Ulaya yanakabiliwa na hatari ya kufilisika kutokana na kupanda kwa gharama za mafuta ya ndege, hali inayodaiwa kuchochewa na vita vinavyoendelea kati ya Marekani,…