Skip to content
  • Fri. Jun 5th, 2026

  • AFRIKA
  • MASHARIKI YA KATI
  • KIMATAIFA
  • UCHAMBUZI
  • MAONI
  • MICHEZO
Top Tags
  • utaridi
  • habari
  • Masharikiyakati
  • Marekani
  • Iran
  • Israel
  • Trump

Hivi Punde

Taiwan Yafanya Mazoezi Makubwa ya Kijeshi Kwa Kutumia Silaha za Kisasa. Kim Jong Un Aagiza Kuongezwa kwa Kasi Kubwa kwa Silaha za Nyuklia za Korea Kaskazini. Akiba za Mafuta za Marekani Zafikia Kiwango cha Chini Zaidi Katika Zaidi ya Miaka 20. Amiri wa Qatar na Rais Trump Wajadili Hali ya Usalama Mashariki ya Kati. Katz: “Hakuna Kusitisha Mapigano Nchini Lebanon
Uncategorized

Kauli ya Marekani Baada ya Kenya Kusitisha Ujenzi wa Kituo cha Ebola nchini humo

May 30, 2026

Mahakama Kuu ya Kenya imesitisha kwa muda kuanzishwa kituo cha karantini kwa wagonjwa wa Ebola raia wa Marekani, kilichotarajiwa kujengwa nchini humo. Kufuatia uamuzi huo, wakuu wa Marekani wamedai kuwa…

MICHEZO

Liverpool Yamtimua Kocha Arne Slot.

May 30, 2026

Liverpool, Uingereza — Klabu ya Liverpool imethibitisha rasmi kuondoka kwa meneja wake, Arne Slot, kufuatia msimu wa 2025/26 uliomalizika bila kufikia matarajio ya klabu na mashabiki. Slot, raia wa Uholanzi,…

Uncategorized

Muungano wa Madaktari Kenya waipa serikali masaa 48, Hatutaki Ebola Kenya

May 29, 2026

Muungano wa Madaktari, Wafamasia na Madaktari wa Meno nchini Kenya (KMPDU) umepatia serikali muda wa saa 48 kueleza hadharani masharti kamili ya makubaliano yake na Marekani au ikabiliwe na mgomo…

AFRIKA

Mkasa wa moto Utumishi Girls: Wanafunzi zaidi ya 10 wakamatwa huku uchunguzi ukishika kasi

May 29, 2026

KENYA– Jeshi la polisi limeanza kuwazuilia wanafunzi zaidi ya 10 wa Shule ya Wasichana ya Utumishi (Utumishi Girls Academy) kwa ajili ya mahojiano, kufuatia mkasa wa kusikitisha wa moto ulioteketeza…

KIMATAIFA

Urusi na Taliban zasaini makubaliano ya ushirikiano wa kijeshi na kiteknolojia

May 29, 2026

MOSCOW, URUSI – Serikali ya Urusi na utawala wa Taliban nchini Afghanistan zimeingia katika ukurasa mpya wa mahusiano baada ya kutia saini makubaliano rasmi ya ushirikiano katika nyanja za kijeshi…

KIMATAIFA

Mamdani Akataa Kushiriki Gwaride la Siku ya Israel.

May 29, 2026

Meya wa Jiji la New York, Zohran Mamdani, amethibitisha uamuzi wake wa kususia Gwaride la Siku ya Israel, na hivyo kuwa meya wa kwanza wa jiji hilo kutohudhuria tukio hilo…

KIMATAIFA

Droni ya Urusi Yaanguka Romania, Mamlaka Zatoa Tahadhari na Watu Kadhaa Wajeruhiwa.

May 29, 2026

Mamlaka za Romania zimeweka tahadhari muda mfupi kabla ya tukio ambapo droni ya Urusi iliripotiwa kuanguka katika mji wa Galati, mashariki mwa nchi hiyo, ambayo ni mwanachama wa NATO. Tukio…

KIMATAIFA MASHARIKI YA KATI

FT Yafichua Hasara na Ufadhili wa “Iran International”, Kituo cha Habari chenye upinzani na Serikali ya Iran.

May 29, 2026

LONDON — Iran International, kituo cha habari cha lugha ya Kiajemi kilicho London na kinachojitambulisha kama chombo huru huku mara nyingi kikionekana kuwa na mwelekeo wa upinzani dhidi ya serikali…

KIMATAIFA

Hungaria Yasisitiza Msimamo Wake Ndani ya NATO.

May 29, 2026

BRUSSELS — Waziri Mkuu wa Hungaria, Péter Magyar, amefanya mazungumzo muhimu na Katibu Mkuu wa NATO, Mark Rutte, mjini Brussels na kusisitiza dhamira ya taifa lake kuendelea kuwa mshirika thabiti…

KIMATAIFA

Mamlaka ya EU Yaanzisha Uchunguzi dhidi ya Chama cha ESN, Kinapinga LGBT.

May 29, 2026

Brussels — Mamlaka ya Vyama vya Kisiasa na Taasisi za Umoja wa Ulaya imeanzisha rasmi mchakato wa uchunguzi dhidi ya chama cha siasa kali za mrengo wa kulia cha Europe…

Posts pagination

1 2 3 … 31

Za Sasa Hivi

  • Taiwan Yafanya Mazoezi Makubwa ya Kijeshi Kwa Kutumia Silaha za Kisasa.
  • Kim Jong Un Aagiza Kuongezwa kwa Kasi Kubwa kwa Silaha za Nyuklia za Korea Kaskazini.
  • Akiba za Mafuta za Marekani Zafikia Kiwango cha Chini Zaidi Katika Zaidi ya Miaka 20.
  • Amiri wa Qatar na Rais Trump Wajadili Hali ya Usalama Mashariki ya Kati.
  • Katz: “Hakuna Kusitisha Mapigano Nchini Lebanon

Maoni Mapya

No comments to show.

Hifadhi yetu

  • June 2026
  • May 2026
  • April 2026

Vitengo

  • AFRIKA
  • KIMATAIFA
  • MAONI
  • MASHARIKI YA KATI
  • MICHEZO
  • UCHAMBUZI
  • Uncategorized

Yaliyokupita

KIMATAIFA

Taiwan Yafanya Mazoezi Makubwa ya Kijeshi Kwa Kutumia Silaha za Kisasa.

June 4, 2026
KIMATAIFA

Kim Jong Un Aagiza Kuongezwa kwa Kasi Kubwa kwa Silaha za Nyuklia za Korea Kaskazini.

June 4, 2026
KIMATAIFA

Akiba za Mafuta za Marekani Zafikia Kiwango cha Chini Zaidi Katika Zaidi ya Miaka 20.

June 4, 2026
MASHARIKI YA KATI

Amiri wa Qatar na Rais Trump Wajadili Hali ya Usalama Mashariki ya Kati.

June 4, 2026

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.