Skip to content
  • Sat. Jun 6th, 2026

  • AFRIKA
  • MASHARIKI YA KATI
  • KIMATAIFA
  • UCHAMBUZI
  • MAONI
  • MICHEZO
Top Tags
  • utaridi
  • habari
  • Masharikiyakati
  • Marekani
  • Iran
  • Israel
  • Trump

Hivi Punde

Kenya kuanza kuzoa mapato ya mafuta Ghafi ya Turkana Taiwan Yafanya Mazoezi Makubwa ya Kijeshi Kwa Kutumia Silaha za Kisasa. Kim Jong Un Aagiza Kuongezwa kwa Kasi Kubwa kwa Silaha za Nyuklia za Korea Kaskazini. Akiba za Mafuta za Marekani Zafikia Kiwango cha Chini Zaidi Katika Zaidi ya Miaka 20. Amiri wa Qatar na Rais Trump Wajadili Hali ya Usalama Mashariki ya Kati.
Uncategorized

Mgogoro wa kisiasa Senegal , Rais amchagua Aminou Lo kama Waziri Mkuu

May 26, 2026

Mgogoro wa kisiasa wa Senegal umeshika kasi huku Rais wa nchi hiyo Bassirou Diomaye Faye akimteua mchumi Ahmadou Al Aminou Lo katika nafasi ya Waziri Mkuu akichukua nafasi ya Ousmane…

KIMATAIFA

Armenia nchi ya kwanza kununua Mtambo wa Ulinzi wa Iran “Majed” uliyopiga ndege za Marekani

May 26, 2026

TEHRAN/YEREVAN — Katika hatua inayoashiria mabadiliko makubwa ya kiusalama, taifa la Armenia inaripotiwa kusaini mkataba wa siri wa ununuzi wa silaha wenye thamani ya dola za Marekani milioni 500 na…

MASHARIKI YA KATI

Iran: Hakuna Mazungumzo Mapya na Marekani Hadi Fedha Zilizozuiwa Zirejeshwe

May 26, 2026

Shirika la Habari la Fars, likinukuu chanzo cha uhakika, limeripoti kuwa hakutakuwa na mazungumzo yoyote kati ya Iran na Marekani bila kufanyika kwa uhamishaji wa fedha za Iran zilizozuiwa. Kwa…

Uncategorized

Iran Yatangaza Mfumo Mpya wa Malipo Kwa Meli Zinazopita Katika Mlango-Bahari wa Hormuz

May 26, 2026

TEHRAN, IRAN– Serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa ufafanuzi rasmi kuhusiana na usimamizi wa njia za maji katika eneo la Ghuba, ikisema kuwa haina mpango wa kutoza “ushuru…

KIMATAIFA

Marekani Yakanusha Madai ya Kuanza Tena Kusindikiza Meli Lango la Hormuz

May 26, 2026

Ripoti zinazokinzana zimeibuka kufuatia madai ya gazeti la Wall Street Journal (WSJ) kwamba Marekani imeanza tena operesheni ya kutoa msaada na ulinzi kwa meli zinazopita katika Ghuba ya Uajemi. Awali,…

KIMATAIFA

Uingereza Yadai Urusi Ilivuruga Mfumo wa GPS wa Ndege Iliyombeba Waziri Wake wa Ulinzi.

May 26, 2026

LONDON – Shirika la utangazaji la BBC limeripoti kuwa Urusi imeingilia na kuvuruga mfumo wa mawasiliano wa GPS wa ndege iliyokuwa ikimsafirisha Waziri wa Ulinzi wa Uingereza. Kwa mujibu wa…

KIMATAIFA MASHARIKI YA KATI

Jarida la The New Yorker: Makubaliano Yoyote na Iran, Yatakuwa Fedheha kwa Trump.

May 26, 2026

WASHINGTON – Jarida la Marekani la The New Yorker limeripoti kuwa makubaliano yoyote yatakayofikiwa na Donald Trump kwa ajili ya kumaliza mzozo na Iran yatakuwa ya fedheha kwake, kutokana na…

KIMATAIFA MASHARIKI YA KATI

Marekani Yathibitisha Kufanya Mashambulizi Kusini mwa Iran, Yakana Kukiuka Usitishaji wa Vita.

May 26, 2026

Makubaliano ya kusitisha mapigano yameripotiwa kukiukwa na Marekani kufuatia uthibitisho kutoka kwa vikosi vyake kuhusu kutekeleza mashambulizi katika maeneo ya kusini mwa Iran. Kwa mujibu wa shirika la habari la…

Uncategorized

Urusi yaanzisha mashumbulizi mazito Ukraine, yatoa onyo kali kwa raia kuondoka Kyiv

May 26, 2026

KYIV, UKRAINE – Mji mkuu wa Ukraine, Kyiv, upo katika hali ya taharuki kufuatia majeshi ya Urusi kuanzisha wimbi jipya la mashambulizi ya kimkakati yanayolenga viwanda na asasi mbalimbali za…

KIMATAIFA

Urusi Yaanzisha Mashambulizi Mazito Ukraine, Yatoa Onyo Kali kwa Raia Kuondoka Kyiv.

May 26, 2026

KYIV, UKRAINE – Mji mkuu wa Ukraine, Kyiv, upo katika hali ya taharuki kufuatia majeshi ya Urusi kuanzisha wimbi jipya la mashambulizi ya kimkakati yanayolenga viwanda na asasi mbalimbali za…

Posts pagination

1 … 3 4 5 … 31

Za Sasa Hivi

  • Kenya kuanza kuzoa mapato ya mafuta Ghafi ya Turkana
  • Taiwan Yafanya Mazoezi Makubwa ya Kijeshi Kwa Kutumia Silaha za Kisasa.
  • Kim Jong Un Aagiza Kuongezwa kwa Kasi Kubwa kwa Silaha za Nyuklia za Korea Kaskazini.
  • Akiba za Mafuta za Marekani Zafikia Kiwango cha Chini Zaidi Katika Zaidi ya Miaka 20.
  • Amiri wa Qatar na Rais Trump Wajadili Hali ya Usalama Mashariki ya Kati.

Maoni Mapya

No comments to show.

Hifadhi yetu

  • June 2026
  • May 2026
  • April 2026

Vitengo

  • AFRIKA
  • KIMATAIFA
  • MAONI
  • MASHARIKI YA KATI
  • MICHEZO
  • UCHAMBUZI
  • Uncategorized

Yaliyokupita

Uncategorized

Kenya kuanza kuzoa mapato ya mafuta Ghafi ya Turkana

June 6, 2026
KIMATAIFA

Taiwan Yafanya Mazoezi Makubwa ya Kijeshi Kwa Kutumia Silaha za Kisasa.

June 4, 2026
KIMATAIFA

Kim Jong Un Aagiza Kuongezwa kwa Kasi Kubwa kwa Silaha za Nyuklia za Korea Kaskazini.

June 4, 2026
KIMATAIFA

Akiba za Mafuta za Marekani Zafikia Kiwango cha Chini Zaidi Katika Zaidi ya Miaka 20.

June 4, 2026

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.