Skip to content
  • Sat. Jun 6th, 2026

  • AFRIKA
  • MASHARIKI YA KATI
  • KIMATAIFA
  • UCHAMBUZI
  • MAONI
  • MICHEZO
Top Tags
  • utaridi
  • habari
  • Masharikiyakati
  • Marekani
  • Iran
  • Israel
  • Trump

Hivi Punde

Kenya kuanza kuzoa mapato ya mafuta Ghafi ya Turkana Taiwan Yafanya Mazoezi Makubwa ya Kijeshi Kwa Kutumia Silaha za Kisasa. Kim Jong Un Aagiza Kuongezwa kwa Kasi Kubwa kwa Silaha za Nyuklia za Korea Kaskazini. Akiba za Mafuta za Marekani Zafikia Kiwango cha Chini Zaidi Katika Zaidi ya Miaka 20. Amiri wa Qatar na Rais Trump Wajadili Hali ya Usalama Mashariki ya Kati.
MASHARIKI YA KATI

Wanachama Watatu wa Civil Defense Wauawa Katika Shambulio la Israel Kusini mwa Lebanon

April 29, 2026

Civil Defense ya Lebanon imetangaza kuuawa kwa wanachama wake watatu wakati wakifanya operesheni ya uokoaji baada ya shambulio la anga la Israel kugonga jengo katika eneo la Majdal Zoun, wilaya…

KIMATAIFA

Trump amvaa kansela wa Ujerumani baada ya kiongozi huyo kusema Marekani imedhalilishwa na Iran

April 29, 2026

Rais wa Marekani, Donald Trump, amemkosoa vikali Kansela wa Ujerumani Hasira ya Trump kwa Ujerumani kunatokana na kukiri kwake kudhalilishwa vibaya kwa Marekani mbele ya Iran. kufuatia kauli hiyo Rais…

MASHARIKI YA KATI

Israel Inafanya “Mauaji ya Mazingira” nchini Lebanon kwa Gharama ya Jumla ya Dola Bilioni 25

April 29, 2026

Wizara ya Mazingira ya Lebanon inasema kuwa Israel inafanya “mauaji ya mazingira” kusini mwa Lebanon, kulingana na ripoti mpya inayofafanua uharibifu mkubwa wa ikolojia wakati wa uvamizi wa 2023–2024.Ripoti hiyo…

KIMATAIFA

Marabi (viongozi) wa Kiyahudi wa mrengo wa kisasa nchini Uingereza Waonya kuwa Mwelekeo wa Sasa wa Israel Unaweza Kudhoofisha Maadili na Utambulisho wa Kiyahudi

April 29, 2026

Marabi wakuu wa Kiyahudi wa mrengo wa maendeleo nchini Uingereza wameonya kuwa mwelekeo wa sasa wa kisiasa wa Israel unawakilisha tishio kubwa kwa maadili na utambulisho wa Kiyahudi, wakisisitiza kuwa…

KIMATAIFA

Viongozi wa chama cha Trump “Republicans” wamtaka kumaliza vita vya Iran kabla ya uchaguzi

April 29, 2026

Washington – Rais wa Marekani, Donald Trump, anafahamu kikamilifu athari za kisiasa ambazo vita vimeleta kwake na kwa chama chake, kwa mujibu wa vyanzo vitatu vinavyofahamu mashauriano ya hivi karibuni…

MASHARIKI YA KATI

“Mwisho wa mgawanyiko”: Bennett na Lapid waungana rasmi kumbwaga Netanyahu

April 28, 2026

Waziri wakuu wa zamani wa Israel, Naftali Bennett na Yair Lapid, wametangaza kuunganisha rasmi vyama vyao na kuunda tiketi ya pamoja ya kisiasa itakayojulikana kama “Pamoja – Ikiongozwa na Naftali…

KIMATAIFA

Wanaharakati wanaounga mkono Palestina “ulm 5” wafikishwa mahakamani Ujerumani kwa kesi ya kisiasa

April 28, 2026

Wanaharakati watano wanaounga mkono Palestina, wanaojulikana kama “Ulm 5,” wamefikishwa mahakamani nchini Ujerumani kufuatia tukio lililolenga eneo linalohusishwa na Elbit Systems mjini Ulm, ambapo wanatuhumiwa kusababisha uharibifu wa takriban euro…

KIMATAIFA

Rais wa Ufaransa atafuta ushirikiano na Iran kuimarisha usalama Hormuz

April 28, 2026

A“Tunafanya kila tuwezalo kuhakikisha kwamba usafiri katika Mlango-Bahari wa Hormuz unarejea katika hali ya kawaida,” alisema kiongozi huyo.

KIMATAIFA

Waziri wa Hazina wa Marekani, Scott Bessent, aonya kuhusu vikwazo kwa biashara zinazoshirikiana na mashirika ya ndege ya Iran.

April 28, 2026

Gazeti la WSJ linaripoti kuwa Waziri wa Hazina wa Marekani, Scott Bessent, ameonya kwamba biashara au watu binafsi wowote wanaojihusisha na mashirika ya ndege ya Iran wako katika hatari ya…

KIMATAIFA

Newsweek: Kiwango cha kutoridhika na Trump chafikia rekodi mpya

April 28, 2026

Kiwango cha kutoridhika na utendaji wa Donald Trump kimefikia kiwango cha juu zaidi kulingana na wastani wa matokeo ya kura za maoni zilizoripotiwa na gazeti la New York Times. Takwimu…

Posts pagination

1 … 28 29 30 31

Za Sasa Hivi

  • Kenya kuanza kuzoa mapato ya mafuta Ghafi ya Turkana
  • Taiwan Yafanya Mazoezi Makubwa ya Kijeshi Kwa Kutumia Silaha za Kisasa.
  • Kim Jong Un Aagiza Kuongezwa kwa Kasi Kubwa kwa Silaha za Nyuklia za Korea Kaskazini.
  • Akiba za Mafuta za Marekani Zafikia Kiwango cha Chini Zaidi Katika Zaidi ya Miaka 20.
  • Amiri wa Qatar na Rais Trump Wajadili Hali ya Usalama Mashariki ya Kati.

Maoni Mapya

No comments to show.

Hifadhi yetu

  • June 2026
  • May 2026
  • April 2026

Vitengo

  • AFRIKA
  • KIMATAIFA
  • MAONI
  • MASHARIKI YA KATI
  • MICHEZO
  • UCHAMBUZI
  • Uncategorized

Yaliyokupita

Uncategorized

Kenya kuanza kuzoa mapato ya mafuta Ghafi ya Turkana

June 6, 2026
KIMATAIFA

Taiwan Yafanya Mazoezi Makubwa ya Kijeshi Kwa Kutumia Silaha za Kisasa.

June 4, 2026
KIMATAIFA

Kim Jong Un Aagiza Kuongezwa kwa Kasi Kubwa kwa Silaha za Nyuklia za Korea Kaskazini.

June 4, 2026
KIMATAIFA

Akiba za Mafuta za Marekani Zafikia Kiwango cha Chini Zaidi Katika Zaidi ya Miaka 20.

June 4, 2026

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.