Rais wa Marekani, Donald Trump, amemkosoa vikali Kansela wa Ujerumani Hasira ya Trump kwa Ujerumani kunatokana na kukiri kwake kudhalilishwa vibaya kwa Marekani mbele ya Iran.
kufuatia kauli hiyo Rais wamarekani amedai kwamba Kansela wa Ujerumani haoni umiliki wa silaha za nyuklia kwa Iran kuwa ni tatizo kubwa.Trump amedai kuwa Kansela huyo wa Ujerumani “hajui anachokizungumza” na kwamba kauli kama hizo zinaweza kudhoofisha msimamo wa Marekani dhidi ya Iran.
Aidha, Trump ameituhumu Ujerumani kwa, akisema si jambo la kushangaza kwamba nchi hiyo, kwa maoni yake, inafanya vibaya katika uchumi na maeneo mengine muhimu.