Civil Defense ya Lebanon imetangaza kuuawa kwa wanachama wake watatu wakati wakifanya operesheni ya uokoaji baada ya shambulio la anga la Israel kugonga jengo katika eneo la Majdal Zoun, wilaya ya Tyre, kusini mwa Lebanon.Waliouawa wametajwa kuwa Hussein Al-Sati, Hadi Daher, na Hussein Ghadbouni.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *