“Mwisho wa mgawanyiko”: Bennett na Lapid waungana rasmi kumbwaga Netanyahu
Waziri wakuu wa zamani wa Israel, Naftali Bennett na Yair Lapid, wametangaza kuunganisha rasmi vyama vyao na kuunda tiketi ya pamoja ya kisiasa itakayojulikana kama “Pamoja – Ikiongozwa na Naftali…