Marekani imeonyesha hasira kufuatia kuchaguliwa kwa Iran kuwa miongoni mwa wajumbe wa meza ya uratibu ya Mkutano wa Mapitio ya Mkataba wa Kutokomeza Silaha za Nyuklia, hatua iliyokuja licha ya juhudi za Washington kuzuia uteuzi huo.w

Katika kikao hicho, mwakilishi wa Marekani aliingia kwenye malumbano ya maneno na mwakilishi wa Iran, akieleza kuwa serikali ya Rais Donald Trump imeshangazwa na kuchukizwa sana na uamuzi wa kumchagua Iran kushika nafasi hiyo ya uongozi katika mkutano huo wa kimataifa.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *