Ofisi ya Netanyahu yaishambulia Ulaya, yadai Israel inafanya “kazi chafu” kwa niaba yao.
Ofisi ya Benjamin Netanyahu imetoa shutuma kali dhidi ya mataifa ya Ulaya kufuatia mfululizo wa ukosoaji kuhusu upanuzi wa makazi ya walowezi wa Israel katika eneo la Ukingo wa Magharibi…