Skip to content
  • Sat. Jun 6th, 2026

  • AFRIKA
  • MASHARIKI YA KATI
  • KIMATAIFA
  • UCHAMBUZI
  • MAONI
  • MICHEZO
Top Tags
  • utaridi
  • habari
  • Masharikiyakati
  • Marekani
  • Iran
  • Israel
  • Trump

Hivi Punde

Ufaransa yanzisha uchunguzi wa kimataifa dhidi ya Israel kwa uhalifu wa kivita na utesaji Jasusi wa Ufaransa ahukukumiwa miaka 20 jela nchini Mali kwa uhujumu uchumi Ushirikiano wa Kimkakati: Iran na Russia Zazindua Miradi ya Nyuklia ya Dola Bilioni 25 na Njia Mpya ya Biashara Putin akataa kuonana na Zelenskyy, aita mazungumzo hayo “kupoteza muda” “Urusi imechagua vita badala ya amani” Zelensky baada ya putin kukataa wito wake
KIMATAIFA

Ofisi ya Netanyahu yaishambulia Ulaya, yadai Israel inafanya “kazi chafu” kwa niaba yao.

May 11, 2026

Ofisi ya Benjamin Netanyahu imetoa shutuma kali dhidi ya mataifa ya Ulaya kufuatia mfululizo wa ukosoaji kuhusu upanuzi wa makazi ya walowezi wa Israel katika eneo la Ukingo wa Magharibi…

KIMATAIFA

Mwanastratejia wa Democrat asema Wamarekani wana hasira kwa kupanda kwa bei ya petroli na chakula

May 11, 2026

Mwanastratejia wa Chama cha Democrat, Mike Nellis, amesema sehemu kubwa ya Wamarekani inaonyesha kutoridhishwa na jinsi Ikulu ya Marekani inavyoshughulikia mgogoro wa bei ya mafuta pamoja na upatikanaji wake. wKwa…

MASHARIKI YA KATI

Ongezeko la vifo kabla ya Hija laibua taharuki nchini Saudi Arabia

May 11, 2026

Ripoti za kuongezeka vifo baina ya mahujaji waliokwenda Saudi Arabia kutekeleza ibada ya Hija imezua wasiwasi na taharuki baina ya viongozi na wasimamizi wa ibada hiyo.Wasaudia wanasisitiza kwamba ongezeko la…

KIMATAIFA

Mbunge wa Republican adai Trump alitumia veto kuzuia mradi wa maji Colorado kulipa kisasi cha Epstein

May 11, 2026

Mbunge wa Republican Thomas Massie ametoa madai kwamba rais wa Marekani Donald Trump alitumia mamlaka yake ya veto kama hatua ya kisiasa dhidi ya mbunge Lauren Boebert, kufuatia msimamo wake…

MASHARIKI YA KATI

Times of Israel yateta unyama wa mazayuni: “tumechupa mipaka yote ya ubinadamu”

May 11, 2026

Gazeti la Times of Israel limetoa tahariri likikosoa vikali tukio la kufukuliwa kwa kaburi la Mpalestina linalodaiwa kufanywa na walowezi wakiwa chini ya uangalizi wa jeshi la Israel. Gazeti hilo…

MASHARIKI YA KATI

Waziri Mkuu wa zamani wa Qatar asema Iran imeimarika baada ya mashambulizi ya Marekani na Israel

May 11, 2026

Waziri Mkuu wa zamani wa Qatar, Hamad bin Jassim Al Thani, amesema kuwa Iran imekuwa na nguvu zaidi kisiasa kufuatia mashambulizi yaliyofanywa na Marekani pamoja na Israel. Alieleza kuwa juhudi…

MASHARIKI YA KATI

Saudi Arabia yaanza kupunguza uwekezaji mkubwa katika michezo, kunani?

May 11, 2026

Saudi Arabia imeanza kujiondoa katika baadhi ya miradi yake mikubwa ya uwekezaji, hasa katika sekta ya michezo, kwa mujibu wa ripoti ya gazeti la The New York Times. WKatika kipindi…

MASHARIKI YA KATI

Spika wa Bunge la Iran, Ghalibaf, aonya kuhusu uwezekano wa uchokozi wa kijeshi dhidi ya Iran.

May 11, 2026

Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Bagher Ghalibaf, ameonya kuhusu uwezekano wa hatua za kijeshi dhidi ya Iran, akisisitiza kuwa vikosi vya ulinzi vya nchi hiyo viko tayari kujibu kwa…

KIMATAIFA MASHARIKI YA KATI

Trump Azungumza na Netanyahu Kuhusu Majibu ya Iran, Akataa Pendekezo la Tehran

May 11, 2026

Rais wa Marekani Donald Trump amesema amezungumza na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu kuhusu majibu ya hivi karibuni ya Iran katika mazungumzo yanayoendelea kuhusu mgogoro huo. Trump alielezea mazungumzo…

MASHARIKI YA KATI

Falme za Kiarabu (UAE) zimeripotiwa kuwakamata na kuwafukuza maelfu ya wafanyakazi wa Pakistan

May 10, 2026

Falme za Kiarabu (UAE) zimeripotiwa kuwakamata na kuwafukuza maelfu ya wafanyakazi wa Pakistan muda mfupi baada ya Pakistan kusaidia kupatanisha usitishaji wa mapigano kati ya Marekani na Iran. Kulingana na…

Posts pagination

1 … 18 19 20 … 32

Za Sasa Hivi

  • Ufaransa yanzisha uchunguzi wa kimataifa dhidi ya Israel kwa uhalifu wa kivita na utesaji
  • Jasusi wa Ufaransa ahukukumiwa miaka 20 jela nchini Mali kwa uhujumu uchumi
  • Ushirikiano wa Kimkakati: Iran na Russia Zazindua Miradi ya Nyuklia ya Dola Bilioni 25 na Njia Mpya ya Biashara
  • Putin akataa kuonana na Zelenskyy, aita mazungumzo hayo “kupoteza muda”
  • “Urusi imechagua vita badala ya amani” Zelensky baada ya putin kukataa wito wake

Maoni Mapya

No comments to show.

Hifadhi yetu

  • June 2026
  • May 2026
  • April 2026

Vitengo

  • AFRIKA
  • KIMATAIFA
  • MAONI
  • MASHARIKI YA KATI
  • MICHEZO
  • UCHAMBUZI
  • Uncategorized

Yaliyokupita

KIMATAIFA

Ufaransa yanzisha uchunguzi wa kimataifa dhidi ya Israel kwa uhalifu wa kivita na utesaji

June 6, 2026
AFRIKA

Jasusi wa Ufaransa ahukukumiwa miaka 20 jela nchini Mali kwa uhujumu uchumi

June 6, 2026
KIMATAIFA

Ushirikiano wa Kimkakati: Iran na Russia Zazindua Miradi ya Nyuklia ya Dola Bilioni 25 na Njia Mpya ya Biashara

June 6, 2026
KIMATAIFA

Putin akataa kuonana na Zelenskyy, aita mazungumzo hayo “kupoteza muda”

June 6, 2026

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.