Skip to content
  • Sat. Jun 6th, 2026

  • AFRIKA
  • MASHARIKI YA KATI
  • KIMATAIFA
  • UCHAMBUZI
  • MAONI
  • MICHEZO
Top Tags
  • utaridi
  • habari
  • Masharikiyakati
  • Marekani
  • Iran
  • Israel
  • Trump

Hivi Punde

Ufaransa yanzisha uchunguzi wa kimataifa dhidi ya Israel kwa uhalifu wa kivita na utesaji Jasusi wa Ufaransa ahukukumiwa miaka 20 jela nchini Mali kwa uhujumu uchumi Ushirikiano wa Kimkakati: Iran na Russia Zazindua Miradi ya Nyuklia ya Dola Bilioni 25 na Njia Mpya ya Biashara Putin akataa kuonana na Zelenskyy, aita mazungumzo hayo “kupoteza muda” “Urusi imechagua vita badala ya amani” Zelensky baada ya putin kukataa wito wake
Uncategorized

Trump: Si lazima kuchukua ‘vumbi la nyuklia’ la Iran

May 16, 2026

Trump asema kuchukua nyenzo za nyuklia za Iran si jambo la lazima 🔹Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema kuwa kuchukua nyenzo za nyuklia za Iran si lazima. Kauli hiyo aliitoa…

Uncategorized

Kenya yaomba kiti cha kudumu kwenye Baraza la UN

May 15, 2026

Rais wa Kenya, William Ruto, ametoa wito kwa Afrika kupewa uanachama wa kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, takwa ambalo limeungwa mkono na Katibu Mkuu wa Umoja…

UCHAMBUZI

Je silaha za Marekani zilizokamtwa na jeshi la Iran zinafanywaje?

May 15, 2026

https://youtube.com/shorts/cQJW-kmracM?feature=share

KIMATAIFA

Hofu ya Udukuzi: Ujumbe wa Marekani Watupa Zawadi za China Jalalani Kabla ya Kupanda Air Force One

May 15, 2026

BEIJING: Katika kile kinachoonekana kama hatua kali za kiusalama, wajumbe wa Marekani wameripotiwa kutupa zawadi zote walizopewa na wenyeji wao nchini China kabla ya kupanda ndege ya Rais, Air Force…

KIMATAIFA

Ushirikiano kati ya Iran na China wazidi kuimarika licha ya safari ya Trump

May 15, 2026

Ushirikiano kati ya Iran na China umeendelea kuimarika huku mataifa hayo mawili yakikabili mazingira ya migogoro katika eneo na changamoto za kimataifa. Wachambuzi wanaueleza mwenendo huu kama chanya na unaotarajiwa…

KIMATAIFA

Mwanadiplomasia wa Zamani wa Marekani: “Wairani Hawawezi Kusalimishwa kwa Mabomu”

May 15, 2026

Mwanadiplomasia wa zamani wa Marekani, Ryan Crocker, ameikosoa kauli ya rais wa Marekani Donald Trump kuhusu “Iran kujisalimisha,” akiiita kauli hiyo kuwa ya kuchekesha. Crocker, ambaye aliwahi kuwa balozi wa…

KIMATAIFA

Mgogoro Mkubwa wa Umeme Cuba Baada ya Nchi Kuishiwa Dizeli na Mafuta Mazito ya Kuwasha (Oil).

May 15, 2026

Cuba imekumbwa na mgogoro mkubwa wa umeme baada ya serikali kutangaza kuwa nchi imeishiwa kabisa na dizeli pamoja na mafuta mazito ya kuwasha. Hali hiyo imeelezwa kuwa miongoni mwa migogoro…

KIMATAIFA MASHARIKI YA KATI

Israel Yaashiria Uwezekano wa Kuanza Tena Hatua za Kijeshi Dhidi ya Iran.

May 15, 2026

Israel inaamini kuwa Rais wa Marekani Donald Trump anaweza kufanya uamuzi kuhusu kurejesha operesheni za kijeshi dhidi ya Iran mara baada ya kumaliza ziara yake nchini China, kwa mujibu wa…

KIMATAIFA

Poland Yasajili Rasmi Ndoa ya Kwanza ya Watu wa Jinsia Moja.

May 15, 2026

Poland siku ya Alhamisi imeandika historia kwa kusajili rasmi ndoa yake ya kwanza ya watu wa jinsia moja, kufuatia maamuzi ya mahakama za Poland na Umoja wa Ulaya yaliyoagiza kutambuliwa…

KIMATAIFA

Marekani Yapanga Kufuta Mashtaka Dhidi ya Bilionea wa India Gautam Adani.

May 15, 2026

Wizara ya Sheria ya Marekani inaripotiwa kuandaa hatua ya kuondoa mashtaka ya udanganyifu dhidi ya bilionea wa India, Gautam Adani, hatua ambayo inaweza kuhitimisha rasmi kesi ya jinai iliyofunguliwa wakati…

Posts pagination

1 … 14 15 16 … 32

Za Sasa Hivi

  • Ufaransa yanzisha uchunguzi wa kimataifa dhidi ya Israel kwa uhalifu wa kivita na utesaji
  • Jasusi wa Ufaransa ahukukumiwa miaka 20 jela nchini Mali kwa uhujumu uchumi
  • Ushirikiano wa Kimkakati: Iran na Russia Zazindua Miradi ya Nyuklia ya Dola Bilioni 25 na Njia Mpya ya Biashara
  • Putin akataa kuonana na Zelenskyy, aita mazungumzo hayo “kupoteza muda”
  • “Urusi imechagua vita badala ya amani” Zelensky baada ya putin kukataa wito wake

Maoni Mapya

No comments to show.

Hifadhi yetu

  • June 2026
  • May 2026
  • April 2026

Vitengo

  • AFRIKA
  • KIMATAIFA
  • MAONI
  • MASHARIKI YA KATI
  • MICHEZO
  • UCHAMBUZI
  • Uncategorized

Yaliyokupita

KIMATAIFA

Ufaransa yanzisha uchunguzi wa kimataifa dhidi ya Israel kwa uhalifu wa kivita na utesaji

June 6, 2026
AFRIKA

Jasusi wa Ufaransa ahukukumiwa miaka 20 jela nchini Mali kwa uhujumu uchumi

June 6, 2026
KIMATAIFA

Ushirikiano wa Kimkakati: Iran na Russia Zazindua Miradi ya Nyuklia ya Dola Bilioni 25 na Njia Mpya ya Biashara

June 6, 2026
KIMATAIFA

Putin akataa kuonana na Zelenskyy, aita mazungumzo hayo “kupoteza muda”

June 6, 2026

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.