Rubio aitaka China kuongeza juhudi katika suala la Iran
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio, ameomba China kutumia ushawishi wake kumsaidia Marekani kutafuta suluhu ya mgogoro wa Iran, ikiwemo kuishinikiza Tehran kufungulia Mlango wa Hormuz na…