Skip to content
  • Sat. Jun 6th, 2026

  • AFRIKA
  • MASHARIKI YA KATI
  • KIMATAIFA
  • UCHAMBUZI
  • MAONI
  • MICHEZO
Top Tags
  • utaridi
  • habari
  • Masharikiyakati
  • Marekani
  • Iran
  • Israel
  • Trump

Hivi Punde

Ufaransa yanzisha uchunguzi wa kimataifa dhidi ya Israel kwa uhalifu wa kivita na utesaji Jasusi wa Ufaransa ahukukumiwa miaka 20 jela nchini Mali kwa uhujumu uchumi Ushirikiano wa Kimkakati: Iran na Russia Zazindua Miradi ya Nyuklia ya Dola Bilioni 25 na Njia Mpya ya Biashara Putin akataa kuonana na Zelenskyy, aita mazungumzo hayo “kupoteza muda” “Urusi imechagua vita badala ya amani” Zelensky baada ya putin kukataa wito wake
KIMATAIFA MASHARIKI YA KATI

Rubio aitaka China kuongeza juhudi katika suala la Iran

May 14, 2026

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio, ameomba China kutumia ushawishi wake kumsaidia Marekani kutafuta suluhu ya mgogoro wa Iran, ikiwemo kuishinikiza Tehran kufungulia Mlango wa Hormuz na…

KIMATAIFA

Mbunge wa Marekani afichua hasara ya ndege 39 katika vita dhidi ya Iran

May 14, 2026

WASHINGTON — Mbunge wa Marekani kutoka Chama cha Democratic, Ed Case, amesema kuwa jeshi la Marekani lilipoteza angalau ndege 39 wakati wa vita vya siku 40 vilivyohusisha Marekani na Israel…

MICHEZO

Lewandowski Aweka Hatma yake Barça Rehani, Fc Porto Waingia kwenye Mbio za Usajili.

May 14, 2026

Ripoti mpya kutoka Hispania zinaeleza kuwa mshambuliaji nyota Robert Lewandowski huenda akaondoka FC Barcelona katika dirisha lijalo la usajili wa majira ya kiangazi. Inaelezwa kuwa nyota huyo wa Poland amepoteza…

KIMATAIFA UCHAMBUZI

Hasara ya kila wiki ya dola milioni 60 kwa kampuni ya Kijerumani kutokana na mgogoro wa Hormuz

May 13, 2026

Kampuni ya Kijerumani yapata hasara ya dola milioni 60 kwa wiki kutokana na mgogoro wa Hormuz 🔹Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya usafirishaji ya Kijerumani, Hapag-Lloyd, amesema kuwa kuendelea kwa mgogoro…

MICHEZO

Pezeshkian Ahamasisha Wachezaji wa Iran Kung’ara Kombe la Dunia.

May 13, 2026

Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, ametembelea kambi ya timu ya taifa ya mpira wa miguu ya Iran kabla ya kuondoka kuelekea Kombe la Dunia, akiwahimiza wachezaji na benchi la ufundi…

KIMATAIFA

SIRI NZITO WHITE HOUSE: Trump Aacha maagizo ya Siri kwa Makamu Wake Kutumika Iwapo Atauawa

May 13, 2026

Rais wa Marekani Donald Trump ameripotiwa kuandika barua ya siri ambayo itatumika iwapo atafariki dunia au kuuawa. Taarifa hii imevutia umakini wa vyombo vya habari wakati Trump akiwa ameanza safari…

KIMATAIFA

Mwanamke mwenye asili ya kiirani ndiye chanzo cha Macron kuchapwa kofi na mkewe

May 13, 2026

Mwandishi wa jarida la Kifaransa la Paris Match, Florian Tardif, ametoa madai mapya kuhusu kile alichodai kuwa ni chanzo cha mvutano kati ya Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron na mkewe…

KIMATAIFA MASHARIKI YA KATI

Mkuu wa Microsoft Israel Ajiuzulu Kufuatia Uchunguzi wa Matumizi ya Teknolojia Kuwapeleleza Wapalestina.

May 13, 2026

Mkuu wa tawi la Microsoft nchini Israel, Alon Haimovich, ameondoka rasmi kwenye wadhifa wake baada ya kuibuka kwa uchunguzi kuhusu matumizi ya teknolojia ya kampuni hiyo na vyombo vya ulinzi…

KIMATAIFA

Zohran Mamdani: Ni Wakati wa Kubadili Vipaumbele, Pesa za Vita Ziboreshe Maisha ya Marekani

May 13, 2026

Zohran Mamdani amesema kuwa mfumuko wa bei nchini Marekani umeongezeka hadi kufikia kiwango cha juu zaidi katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita, akieleza kuwa gharama za maisha zimepanda kwa kiasi…

MASHARIKI YA KATI

Netanyahu na Mkuu wa Mossad walifanya ziara za siri UAE wakati wa vita dhidi ya Iran

May 13, 2026

🔹 Kituo cha 12 cha Israel, kikinukuu ofisi ya Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni, kilithibitisha kuwa Benjamin Netanyahu alifanya ziara ya siri nchini Umoja wa Falme za Kiarabu katika…

Posts pagination

1 … 15 16 17 … 32

Za Sasa Hivi

  • Ufaransa yanzisha uchunguzi wa kimataifa dhidi ya Israel kwa uhalifu wa kivita na utesaji
  • Jasusi wa Ufaransa ahukukumiwa miaka 20 jela nchini Mali kwa uhujumu uchumi
  • Ushirikiano wa Kimkakati: Iran na Russia Zazindua Miradi ya Nyuklia ya Dola Bilioni 25 na Njia Mpya ya Biashara
  • Putin akataa kuonana na Zelenskyy, aita mazungumzo hayo “kupoteza muda”
  • “Urusi imechagua vita badala ya amani” Zelensky baada ya putin kukataa wito wake

Maoni Mapya

No comments to show.

Hifadhi yetu

  • June 2026
  • May 2026
  • April 2026

Vitengo

  • AFRIKA
  • KIMATAIFA
  • MAONI
  • MASHARIKI YA KATI
  • MICHEZO
  • UCHAMBUZI
  • Uncategorized

Yaliyokupita

KIMATAIFA

Ufaransa yanzisha uchunguzi wa kimataifa dhidi ya Israel kwa uhalifu wa kivita na utesaji

June 6, 2026
AFRIKA

Jasusi wa Ufaransa ahukukumiwa miaka 20 jela nchini Mali kwa uhujumu uchumi

June 6, 2026
KIMATAIFA

Ushirikiano wa Kimkakati: Iran na Russia Zazindua Miradi ya Nyuklia ya Dola Bilioni 25 na Njia Mpya ya Biashara

June 6, 2026
KIMATAIFA

Putin akataa kuonana na Zelenskyy, aita mazungumzo hayo “kupoteza muda”

June 6, 2026

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.