Putin: Nimepokea ujumbe kutoka kwa Kiongozi Mkuu wa Iran
Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema kuwa alipokea ujumbe kutoka kwa Kiongozi Mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wiki iliyopita.Putin pia alimtakia Kiongozi Mkuu wa Iran afya njema na…
Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema kuwa alipokea ujumbe kutoka kwa Kiongozi Mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wiki iliyopita.Putin pia alimtakia Kiongozi Mkuu wa Iran afya njema na…
Mjumbe wa chama cha Democratic katika Baraza la Wawakilishi la Marekani, Jason Crow, amesema kuwa vita vilivyoanzishwa na Rais Donald Trump dhidi ya Iran vimekuwa janga kubwa lenye gharama kubwa.Akihoji…
Rais Donald Trump anatarajiwa kufanya mkutano katika Chumba cha kusimamia migogoro (Situation Room) jijini White House siku ya Jumatatu kuhusu suala la Iran, pamoja na timu yake ya juu ya…
Watangazaji wa umma nchini Ireland na Hispania wametangaza kususia shindano la mwaka huu la Eurovision Song Contest wakipinga ushiriki wa Israel.Shirika la utangazaji la Hispania, RTVE, limethibitisha kuwa halitarusha matangazo…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman amesema kuwa mazungumzo aliyofanya na mwenzake wa Iran kuhusu Mlango wa Hormuz yalikuwa na tija.Ameeleza kuwa kuna umuhimu wa kuimarisha juhudi za kidiplomasia…
Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, amejikuta katika wimbi zito la ukosoaji kwenye mitandao ya kijamii kufuatia kauli yake ya kulaani matumizi ya nguvu, muda mfupi baada ya jaribio la…