Ghana yakataa dili nono ya Amerika kutokana na hitaji la kufichua data za raia
Utawala wa Rais John Dramani Mahama ulikataa mpango ambapo uliihitaji kupata msaada wa kifedha kwa kuipa Amerika data yake muhimu ya kiafya.Suala hilo hilo lilizima mazungumzo kati ya Amerika na…