Timu ya Taifa ya Iran Kupokelewa Tijuana Baada ya Marekani Kudinda
Rais wa Meksiko, Claudia Sheinbaum, ametangaza rasmi kuwa nchi yake itaikaribisha timu ya taifa ya soka ya Iran katika mji wa Tijuana kwa ajili ya maandalizi ya Kombe la Dunia.…
Rais wa Meksiko, Claudia Sheinbaum, ametangaza rasmi kuwa nchi yake itaikaribisha timu ya taifa ya soka ya Iran katika mji wa Tijuana kwa ajili ya maandalizi ya Kombe la Dunia.…
WAZIRI wa Usalama wa Ndani Kipchumba Murkomen ametangaza Jumatano kama sikukuu ya kitaifa.Kupitia notisi ya gazeti iliyochapishwa Jumatatu Mei 25, waziri huyo alitangaza kuwa siku hiyo ni ya Idd-ul-Adha ama…
🔹 Kulingana na mchambuzi mkuu wa usalama wa Israel, ripoti zilizovuja kuhusu mazungumzo ya simu yenye mvutano kati ya Trump na Netanyahu kuhusiana na Iran hazikuwa za kweli, bali zilikuwa…
Iran imeanza upya ujenzi wa uzalishaji wa makombora yake ya masafa marefu wakati wa usitishaji vita, kwa kasi kubwa zaidi kuliko ilivyotabiriwa na mashirika ya ujasusi ya Israel na Marekani.…
Yanayojiri: Donald Trump amesema katika mahojiano kwamba amegawanyika “50/50” kati ya kufikia makubaliano ya amani na Iran na kuanzisha tena mashambulizi ya kijeshi. Iran na Pakistan zimewasilisha pendekezo lililorekebishwa kwa…
TAKRIBAN watu 90 walifariki kufuatia mlipuko katika mgodi wa makaa ya mawe kaskazini mwa China, kulingana na vyombo vya habari vya serikali ya nchi hiyo. Mlipuko huo wa gesi ulitokea…
TEHRAN – Ripoti mpya ya shirika la habari la Bloomberg imebainisha kuwa, tangu kuanza kwa mzozo wa sasa, Iran imefanikiwa kutungua zaidi ya ndege zisizo na rubani (drones) za Marekani…
Waziri Mkuu wa Uhispania: Nitashinikiza ili Ulaya nzima imwekee vikwazo Waziri wa Usalama wa Israel.🔹 Picha za waziri wa Israel, Ben-Gvir, akiwadhalilisha wanachama wa msafara wa kimataifa wa kusaidia Gaza,…
Israel imepokea rasmi balozi wa kwanza kabisa wa Somaliland, Mohamed Hagi, ikiwa ni hatua muhimu ya kidiplomasia huku pande zote zikiahidi kuimarisha ushirikiano katika biashara, usalama na mahusiano ya kikanda.Balozi…
Mwanaharakati Francis Awino amefungua kesi katika Mahakama Kuu ya Nairobi kupinga ongezeko la hivi karibuni la bei ya mafuta lililotangazwa na Mamlaka ya Kudhibiti Nishati na Petroli (EPRA) tarehe 14…