Waziri Mkuu wa Uhispania: Nitashinikiza ili Ulaya nzima imwekee vikwazo Waziri wa Usalama wa Israel.🔹 Picha za waziri wa Israel, Ben-Gvir, akiwadhalilisha wanachama wa msafara wa kimataifa wa kusaidia Gaza, hazikubaliki. Hatutaruhusu mtu yeyote kuwatendea vibaya raia wetu.