Iran yaonya Ufaransa na Uingereza dhidi ya kupeleka manowari katika Mlango wa Hormuz.
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayeshughulikia masuala ya kisheria na kimataifa, Kazem Gharibabadi, ameonya Ufaransa na Uingereza dhidi ya kupeleka manowari katika Mlango wa Hormuz, akisisitiza kuwa…