Ripoti: Sababu za Iran Kutoonyesha Dalili za Kurudi Nyuma
Jarida la Marekani la Foreign Policy limeangazia sababu zinazoeleza kwa nini Iran haijaonyesha dalili za kurudi nyuma licha ya shinikizo la kimataifa.
Jarida la Marekani la Foreign Policy limeangazia sababu zinazoeleza kwa nini Iran haijaonyesha dalili za kurudi nyuma licha ya shinikizo la kimataifa.
Kundi la Kiyahudi lenye misimamo mikali liliingiza maandishi ya maombi ya Taurati yanayohusishwa na “Hekalu Takatifu” ndani ya eneo la Msikiti wa Al-Aqsa, kwa mara ya kwanza, ikiripotiwa kwa idhini…
Mahakama nchini Afrika Kusini yamtimua mtoto wa aliyekuwa rais wa Zimbabwe Robert Mugabe
Hossein Vafaei wa Iran amepata ushindi muhimu baada ya kumshinda Judd Trump, anayeshika nafasi ya kwanza duniani katika mchezo wa snuka. Katika pambano lililodumu kwa raundi tatu, Vafaei alifanikiwa kumtungua…
Nguvu ya Nyuklia Yaongezeka: Korea Kaskazini Yakaribia Kuvunja Kinga ya Marekani
Kyiv — Serikali ya Ukraine imemwita balozi wa Israel nchini humo kutoa malalamiko rasmi kuhusu usafirishaji wa nafaka ambayo Ukraine inadai iliibwa kutoka maeneo ya nchi hiyo yaliyo chini ya…
Civil Defense ya Lebanon imetangaza kuuawa kwa wanachama wake watatu wakati wakifanya operesheni ya uokoaji baada ya shambulio la anga la Israel kugonga jengo katika eneo la Majdal Zoun, wilaya…
Rais wa Marekani, Donald Trump, amemkosoa vikali Kansela wa Ujerumani Hasira ya Trump kwa Ujerumani kunatokana na kukiri kwake kudhalilishwa vibaya kwa Marekani mbele ya Iran. kufuatia kauli hiyo Rais…
Wizara ya Mazingira ya Lebanon inasema kuwa Israel inafanya “mauaji ya mazingira” kusini mwa Lebanon, kulingana na ripoti mpya inayofafanua uharibifu mkubwa wa ikolojia wakati wa uvamizi wa 2023–2024.Ripoti hiyo…
Marabi wakuu wa Kiyahudi wa mrengo wa maendeleo nchini Uingereza wameonya kuwa mwelekeo wa sasa wa kisiasa wa Israel unawakilisha tishio kubwa kwa maadili na utambulisho wa Kiyahudi, wakisisitiza kuwa…