Serikali ya Kenya Yashukuru Mapokezi ya Tanzania, Yaahidi Kuimarisha Ushirikiano wa Kikanda
Serikali ya Kenya imetoa shukrani kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, pamoja na wananchi wa Tanzania kwa mapokezi ya kipekee na ukarimu waliouonyesha wakati wa…