Wamarekani Wapoteza Imani na Mfumo wa Ubepari na Demokrasia yao
WASHINGTON, MAREKANI – Utafiti mpya nchini Marekani uliochapishwa hivi karibuni na jarida la Wall Street Journal kwa kushirikiana na taasisi ya utafiti ya NORC, umebaini kuwa idadi kubwa ya Wamarekani…
IMF: Bei ya Mafuta Kubaki Juu, Hakuna Matumaini ya Kurejea Viwango vya Kabla ya Vita
Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) limesema soko la mafuta duniani halitatarajiwi kurejea kwa haraka kwenye bei za kabla ya kuanza kwa mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iran. Taarifa hiyo…
Waziri mkuu Ubelgiji ampa makavu Trump: lengo la NATO ni kujihami sio uchokozi
Waziri Mkuu wa Ubelgiji, Bart De Wever, amesema kuwa Ibara ya 5 ya NATO haihalalishi nchi mwanachama kuanzisha mashambulizi dhidi ya taifa jingine kwa uamuzi wake binafsi kisha kutarajia washirika…
Rasimu ya uonevu: Russia na China Zapinga Shinikizo la UAE dhidi ya Iran
Russia na China zimekataa waraka uliowasilishwa na Falme za Kiarabu (UAE) katika kikao cha 137 cha Baraza la Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Baharini (IMO), kuhusu hali ya Mlango…
Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu Azikwa Baada ya Wiki ya Maombolezo ya Kihistoria
MASHHAD, Iran, Alhamisi — Kiongozi shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatollah Seyyed Ali Khamenei, amezikwa rasmi mjini Mashhad mwishoni mwa Alhamisi, kufuatia wiki nzima ya shughuli za maombolezo na mazishi…
MUALIKWA WA CHAKULA TU! Zelensky anyimwa nafasi vikao vya siri vya NATO
ANKARA, TURKIYE – Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, anatarajiwa kuhudhuria dhifa ya chakula cha jioni kwa viongozi katika mkutano wa kilele wa NATO mjini Ankara. Hata hivyo, ripoti kutoka CNN…
Urusi kurejea ugani: IOC kuondoa vikwazo kwa wanamichezo
Kamati ya Kimataifa ya Olimpiki (IOC) imerejesha kwa muda uanachama wa Kamati ya Olimpiki ya Urusi (ROC), hatua inayotoa mwanga wa matumaini kwa wanamichezo wa nchi hiyo. Mbali na kurejesha…
Trump aitamani Greenland: Atishia kuondoa majeshi ya Marekani Ulaya
WASHINGTON, MAREKANI – Donald Trump amezua taharuki mpya ya kidiplomasia baada ya kutangaza kuwa kisiwa cha Greenland kinapaswa kusimamiwa na Marekani badala ya Denmark. Akizungumza hivi karibuni kuhusu sera za…
Trump: Ningesusa mkutano wa NATO kama usingefanyika Uturuki
ANKARA, UTURUKI – Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza kuwa alikuwa tayari kususia mkutano wa kilele wa Umoja wa Kujihami wa Nchi za Magharibi (NATO) mwaka huu, kama mkutano huo…
SAKATA LA BALOGUN: Infantino akiri kwamba alipigiwa simu na Donald Trump
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA), Gianni Infantino, amethibitisha kupokea simu kutoka kwa Rais wa Marekani, Donald Trump, aliyehoji kuhusu adhabu ya kufungiwa kwa mshambuliaji wa timu…