Balozi wa Marekani Uturuki: hakuna vita kati ya Uturuki na Israel, ni ‘mikwala ya uchaguzi’
"Kile mnachokisikia kwenye kauli kali za viongozi wakuu wa nchi hizi ni kile wanacholazimika kusema wakati wa kampeni za kisiasa — ambazo kila mtu yuko ndani yake, sivyo?" Balozi Tom…
Urusi Yaitishia Uingereza Kuhusu Mashambulizi ya Ukraine kwa Kutumia Droni za Uingereza
Urusi imetoa onyo la moja kwa moja kwa Uingereza, ikisema London inaweza kukabiliwa na madhara makubwa baada ya ripoti kueleza kuwa Ukraine imetumia droni zilizotengenezwa Uingereza kushambulia viwanda vya kusafisha…
Ordoga alalama nchi yake kufungiwa mlango wa kujiunga na Umoja wa nchi za Ulaya
Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdoğan, ametangaza wazi kuwa azma ya nchi yake kujiunga na Umoja wa Ulaya (EU) si kipaumbele kikuu cha sera za kigeni za Ankara kwa sasa,…
Netanyahu aishambulia Uingereza, aiita “Jamhuri ya Kiislamu ya Uingereza”
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ameishambulia serikali ya Uingereza inayoongozwa na Chama cha Labour, akiita nchi hiyo kwa jina la kejeli “Jamhuri ya Kiislamu ya Uingereza”, huku mvutano kati…
Iran: Golan ni ya Syria, Netanyahu Hana Mamlaka Juu ya Kuundwa kwa Taifa Huru la Palestina
Taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran: 🔹 Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali kauli za Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin…
Putin aonya nchi za magharibi “meli zetu sio shamba la bibi, mkizikamata na sisi tutakamata za kwenu”
Rais Vladimir Putin ameonya kuwa Russia itajibu kwa hatua sawia iwapo nchi za Ulaya zitaanza kukamata meli za kibiashara za Russia, akisema Moscow inaweza kuchukua hatua hiyo hata katika maeneo…
Washington Post: Mashambulizi ya Iran Jordan yaonyesha uwezo wake wa kijeshi umeimarika kwa kasi
Mashambulizi ya Iran dhidi ya kituo cha kijeshi cha Marekani nchini Jordan, yaliyosababisha vifo vya wanajeshi watatu wa Marekani Julai 17, yanaonyesha jinsi uwezo wa Tehran katika matumizi ya makombora…
Hamas yaunga mkono wazo la kuijumuisha Gaza katika makubaliano mapana ya kusitisha vita kikanda
Hamas imesema inaunga mkono kwa nguvu kauli za Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran, Mohsen Rezaei, kuhusu umuhimu wa kumaliza vita katika eneo lote la Mashariki…
Mfahamu mwanasiasa wa Uganda anayegombea nafasi ya katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa
Uganda imemuidhinisha mwanadiplomasia na mwanasiasa mkongwe Olara Otunnu kuwa mgombea wake katika kinyang’anyiro cha nafasi ya Katibu Mkuu ajaye wa Umoja wa Mataifa (UN). Otunnu, ambaye anaungwa mkono na serikali…
CNN: Mkuu wa Majeshi ya Marekani ashauri Washington kutafuta njia ya kujiondoa katika vita na Iran
Kwa mujibu wa CNN, Mwenyekiti wa Wakuu wa Majeshi ya Marekani, Jenerali Dan Caine, amewaeleza kwa faragha baadhi ya washauri wakuu wa Rais Donald Trump kwamba Washington inahitaji kutafuta “njia…