Skip to content
  • Sun. Aug 2nd, 2026

  • AFRIKA
  • MASHARIKI YA KATI
  • KIMATAIFA
  • UCHAMBUZI
  • MAONI
  • MICHEZO
Top Tags
  • utaridi
  • habari
  • Masharikiyakati
  • Marekani
  • Iran
  • Israel
  • Trump

Hivi Punde

Malaysia yasimama imara dhidi ya tisho la Marekani kuhusu msimamo wake kwa Israel Marekani ashindwa, aungana na Uingereza kusaka muungano wa kimataifa kufungua Hormuz Iran yatangaza kisasi cha “mwanajeshi mmoja wa Marekani kwa kila raia wake atakayeuawa” Netanyahu na Katz waamuru operesheni kubwa dhidi ya vijiji vya Palestina Ukingo wa Magharibi Utafiti wa TIFA Wafichua Dilema ya Gachagua, Ruto Aongoza Huku Upinzani Ukisaka Umoja
KIMATAIFA

Malaysia yasimama imara dhidi ya tisho la Marekani kuhusu msimamo wake kwa Israel

July 25, 2026
KIMATAIFA

Marekani ashindwa, aungana na Uingereza kusaka muungano wa kimataifa kufungua Hormuz

July 25, 2026
MASHARIKI YA KATI

Iran yatangaza kisasi cha “mwanajeshi mmoja wa Marekani kwa kila raia wake atakayeuawa”

July 25, 2026
MASHARIKI YA KATI

Netanyahu na Katz waamuru operesheni kubwa dhidi ya vijiji vya Palestina Ukingo wa Magharibi

July 25, 2026
Uncategorized

Utafiti wa TIFA Wafichua Dilema ya Gachagua, Ruto Aongoza Huku Upinzani Ukisaka Umoja

July 25, 2026
  • Hivi punde
  • Maarufu
  • Afrika
Malaysia yasimama imara dhidi ya tisho la Marekani kuhusu msimamo wake kwa Israel
KIMATAIFA
Malaysia yasimama imara dhidi ya tisho la Marekani kuhusu msimamo wake kwa Israel
Marekani ashindwa, aungana na Uingereza  kusaka muungano wa kimataifa kufungua Hormuz
KIMATAIFA
Marekani ashindwa, aungana na Uingereza kusaka muungano wa kimataifa kufungua Hormuz
Iran yatangaza kisasi cha “mwanajeshi mmoja wa Marekani kwa kila raia wake atakayeuawa”
MASHARIKI YA KATI
Iran yatangaza kisasi cha “mwanajeshi mmoja wa Marekani kwa kila raia wake atakayeuawa”
Netanyahu na Katz waamuru operesheni kubwa dhidi ya vijiji vya Palestina Ukingo wa Magharibi
MASHARIKI YA KATI
Netanyahu na Katz waamuru operesheni kubwa dhidi ya vijiji vya Palestina Ukingo wa Magharibi
Sheikh Naim: Iran, Mhusika Muhimu Katika Kusitishwa kwa Mapigano Lebanon
MASHARIKI YA KATI
Sheikh Naim: Iran, Mhusika Muhimu Katika Kusitishwa kwa Mapigano Lebanon
UAE yaomba mazungumzo yarejee na mashambulizi ya miundombinu yakome
MASHARIKI YA KATI
UAE yaomba mazungumzo yarejee na mashambulizi ya miundombinu yakome
Medvedev: Malumbano ya Marekani na Ulaya ni ushindi mkubwa kwa Urusi
KIMATAIFA
Medvedev: Malumbano ya Marekani na Ulaya ni ushindi mkubwa kwa Urusi
Kenya na Uganda Kuwekeza Tanzania
AFRIKA
Kenya na Uganda Kuwekeza Tanzania
Maharamia wa Somalia waiteka meli yenye bendera ya Tanzania Ghuba ya Aden
AFRIKA
Maharamia wa Somalia waiteka meli yenye bendera ya Tanzania Ghuba ya Aden
Wasira aiweka sawa Jumuiya ya Madola: “Tanzania haisubiri kuamrishwa”
AFRIKA
Wasira aiweka sawa Jumuiya ya Madola: “Tanzania haisubiri kuamrishwa”
Pigo kwa UDA: DCP Yashinda Uchaguzi Mdogo wa Ol Kalou
AFRIKA
Pigo kwa UDA: DCP Yashinda Uchaguzi Mdogo wa Ol Kalou
Afrika Kusini Yakanusha Kutengwa Barani Afrika Baada ya Maandamano Dhidi ya Wahamiaji
AFRIKA
Afrika Kusini Yakanusha Kutengwa Barani Afrika Baada ya Maandamano Dhidi ya Wahamiaji
AFRIKA

UBADHIRIFU KEMSA: Dawa za Sh377 Milioni Zaharibika Ghalani Huku Wakenya Wakitaabika Hospitalini

June 11, 2026

NAIROBI, KENYA – Wimbi la ghadhabu na malalamiko makubwa limeikumba nchi kufuatia ripoti ya kushtusha kuwa shehena ya dawa na vifaa muhimu vya matibabu vyenye thamani ya shilingi milioni 377…

Uncategorized

Jeshi la Iran Laamuru kufungwa Mlango bahari wa hormuz kwa meli zote baada ya mashambulizi mapya ya Marekani

June 11, 2026

Kamandi Kuu ya Jeshi la Iran imeamuru kufungwa Mlango-Bahari wa Kistratejia wa Hormuz muda mfupi baada ya kuanza hujuma mpya ya kijeshi ya Marekani dhidi ya Iran, licha ya Jamhuri…

MASHARIKI YA KATI

Saudi Arabia na Yemen Zasaini Makubaliano ya Dola Milioni 150 Kuimarisha Sekta ya Umeme

June 10, 2026

Saudi Arabia na Yemen Zasaini Makubaliano ya Dola Milioni 150 Kuimarisha Sekta ya Umeme Saudi Arabia na Yemen zimesaini makubaliano yenye thamani ya dola milioni 150 kwa ajili ya kusambaza…

MASHARIKI YA KATI

Iran Yajibu Mapigo kwa Kushambulia Kikosi cha Tano cha Wanamaji cha Marekani Bahrain kwa Droni

June 10, 2026

Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) limetoa taarifa likisema kuwa mapema alfajiri ya leo Marekani ilifanya mashambulizi katika baadhi ya maeneo ya kusini mwa Iran, ikiwemo…

KIMATAIFA

SpaceX ya Elon Musk Kupima Vituo vya Data vya AI Angani Ifikapo 2027

June 10, 2026

Kampuni ya SpaceX inapanga kuanza misheni za majaribio kwa miundombinu yake ya kompyuta ya akili bandia (AI) iliyo angani ifikapo mwishoni mwa mwaka 2027, mapema kuliko ratiba ya awali ya…

KIMATAIFA

China na Georgia Zainua Uhusiano hadi Ushirikiano wa Kimkakati wa Kina

June 10, 2026

Marais wa China na Georgia wametangaza rasmi kuinua kiwango cha uhusiano wa nchi zao hadi ushirikiano wa kimkakati wa kina, hatua inayolenga kuimarisha zaidi ushirikiano wa kisiasa na kiuchumi kati…

MASHARIKI YA KATI

Uturuki na Saudi Arabia Zasaini Makubaliano ya Ushirikiano wa Reli ya Hejaz

June 10, 2026

Riyadh — Uturuki na Saudi Arabia zimesaini hati ya makubaliano ya ushirikiano wa reli mjini Riyadh, hatua inayolenga kufufua Reli ya kihistoria ya Hejaz na kuibadilisha kuwa korido ya kisasa…

MASHARIKI YA KATI

Netanyahu: Israel Huenda Ikakabiliana na Iran Bila Msaada wa Marekani

June 9, 2026

Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, amesema huenda nchi yake ikalazimika kukabiliana na Iran bila msaada wa Marekani iwapo hali italazimu, hata kama hatua hiyo itasababisha vikwazo vya silaha na…

KIMATAIFA MASHARIKI YA KATI

Trump: Marekani Inaweza Kushiriki Kujenga Upya Iran Baada ya Vita, Tutachukua Mafuta

June 9, 2026

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema kuwa nguvu ndiyo huamua matokeo katika mgogoro wowote, akizungumza kuhusu hali inayohusisha Iran katika mahojiano na kituo cha ABC. Trump alisema kwa ufupi kuwa…

Uncategorized

Papa Leo: Vita dhidi ya Iran ‘Sio vya haki’

June 9, 2026

Katika kauli yenye ukali dhidi ya sera za Rais wa Marekani Donald Trump, Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani amesema kwamba vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran havina uhalali…

Posts pagination

1 … 21 22 23 … 56

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.