UBADHIRIFU KEMSA: Dawa za Sh377 Milioni Zaharibika Ghalani Huku Wakenya Wakitaabika Hospitalini
NAIROBI, KENYA – Wimbi la ghadhabu na malalamiko makubwa limeikumba nchi kufuatia ripoti ya kushtusha kuwa shehena ya dawa na vifaa muhimu vya matibabu vyenye thamani ya shilingi milioni 377…
Jeshi la Iran Laamuru kufungwa Mlango bahari wa hormuz kwa meli zote baada ya mashambulizi mapya ya Marekani
Kamandi Kuu ya Jeshi la Iran imeamuru kufungwa Mlango-Bahari wa Kistratejia wa Hormuz muda mfupi baada ya kuanza hujuma mpya ya kijeshi ya Marekani dhidi ya Iran, licha ya Jamhuri…
Saudi Arabia na Yemen Zasaini Makubaliano ya Dola Milioni 150 Kuimarisha Sekta ya Umeme
Saudi Arabia na Yemen Zasaini Makubaliano ya Dola Milioni 150 Kuimarisha Sekta ya Umeme Saudi Arabia na Yemen zimesaini makubaliano yenye thamani ya dola milioni 150 kwa ajili ya kusambaza…
Iran Yajibu Mapigo kwa Kushambulia Kikosi cha Tano cha Wanamaji cha Marekani Bahrain kwa Droni
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) limetoa taarifa likisema kuwa mapema alfajiri ya leo Marekani ilifanya mashambulizi katika baadhi ya maeneo ya kusini mwa Iran, ikiwemo…
SpaceX ya Elon Musk Kupima Vituo vya Data vya AI Angani Ifikapo 2027
Kampuni ya SpaceX inapanga kuanza misheni za majaribio kwa miundombinu yake ya kompyuta ya akili bandia (AI) iliyo angani ifikapo mwishoni mwa mwaka 2027, mapema kuliko ratiba ya awali ya…
China na Georgia Zainua Uhusiano hadi Ushirikiano wa Kimkakati wa Kina
Marais wa China na Georgia wametangaza rasmi kuinua kiwango cha uhusiano wa nchi zao hadi ushirikiano wa kimkakati wa kina, hatua inayolenga kuimarisha zaidi ushirikiano wa kisiasa na kiuchumi kati…
Uturuki na Saudi Arabia Zasaini Makubaliano ya Ushirikiano wa Reli ya Hejaz
Riyadh — Uturuki na Saudi Arabia zimesaini hati ya makubaliano ya ushirikiano wa reli mjini Riyadh, hatua inayolenga kufufua Reli ya kihistoria ya Hejaz na kuibadilisha kuwa korido ya kisasa…
Netanyahu: Israel Huenda Ikakabiliana na Iran Bila Msaada wa Marekani
Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, amesema huenda nchi yake ikalazimika kukabiliana na Iran bila msaada wa Marekani iwapo hali italazimu, hata kama hatua hiyo itasababisha vikwazo vya silaha na…
Trump: Marekani Inaweza Kushiriki Kujenga Upya Iran Baada ya Vita, Tutachukua Mafuta
Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema kuwa nguvu ndiyo huamua matokeo katika mgogoro wowote, akizungumza kuhusu hali inayohusisha Iran katika mahojiano na kituo cha ABC. Trump alisema kwa ufupi kuwa…
Papa Leo: Vita dhidi ya Iran ‘Sio vya haki’
Katika kauli yenye ukali dhidi ya sera za Rais wa Marekani Donald Trump, Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani amesema kwamba vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran havina uhalali…