Axios: “utakuwa peke yako” onyo kali la Trump lilivyozima mpango wa Israel kukipiga na Iran
WASHINGTON/JERUSALEM – Ripoti mpya kutoka kwa shirika la habari la Axios imefichua mivutano ya chinichini iliyopelekea Israel kusitisha mpango wake wa awali wa kutekeleza mashambulizi makubwa ya anga dhidi ya…
J.D Vance afichua tofauti za kimaslahi kati ya Marekani na Israel; azungumzia fursa mpya kuhusu Iran
WASHINGTON – Makamu wa Rais wa Marekani, J.D. Vance, ametoa kauli mpya kuhusu uhusiano wa nchi hiyo na mshirika wake mkuu Mashariki ya Kati, akibainisha kuwa maslahi ya Marekani na…
Mradi wa ndege za kivita waangukia pua: Ufaransa na Ujerumani zashindwana ubabe
PARIS, UFARANSA Ufaransa na Ujerumani zimeshindwa kuvunja ukuta wa kutoelewana uliodumu kwa miezi kadhaa kuhusu mradi wao wa pamoja wa kutengeneza ndege za kivita za kisasa (Next-Generation Fighter Jet), hatua…
Uturuki na Venezuela Kuimarisha Ushirikiano wa Kiuchumi
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdoğan na Rais wa Mpito wa Venezuela Delcy Rodríguez wamejadili namna ya kupanua ushirikiano kati ya nchi hizo katika sekta za biashara, nishati na uchimbaji…
Jeshi la Anga la Taiwan laripotiwa kutaka kununua ndege za kivita za Rafale
TAIPEI — Jeshi la Anga la Taiwan limekuwa katika jitihada za kununua kati ya ndege 50 hadi 60 za kivita aina ya Dassault Rafale F4 kutoka Ufaransa kwa karibu mwaka…
Hofu yatanda kuhusu ushiriki wa referee Omar Artan katika kombe la dunia 2026 baada ya kuzuiwa kuingia Marekani
Mwamuzi nyota kutoka Somalia, Omar Artan, amejikuta katika wakati mgumu baada ya kunyimwa ruhusa ya kuingia nchini Marekani, hali ambayo imezua maswali mengi kuhusu hatma yake ya kuchezesha katika michuano…
Iran Karibu Kufutwa Kwenye Ramani – Rais Asimamisha Operesheni Kwa Ombi la Pakistan.
Washington – Katika tukio lililoshtua na kuamsha hisia mbalimbali, Rais wa Marekani amekiri kuwa alikuwa karibu sana kuamuru shambulio lililotarajiwa kufuta Iran kutoka ramani leo asubuhi. Akizungumza kwa hisia, Rais…
Lapid ainyoshea kidole serikali ya Netanyahu: “operesheni dhidi ya Iran ni kupoteza muda”
TEL AVIV, ISRAEL – Kiongozi wa upinzani nchini Israel, Yair Lapid, ameibua mjadala mzito baada ya kutoa shutuma kali dhidi ya serikali ya Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu, akidai kuwa imeshindwa…
Marekani yalegeza kamba: yafuta shinikizo la kuifikisha Iran katika baraza la usalama la UN
TEHRAN, IRAN– Ripoti mpya kutoka kwa mwandishi wa habari wa gazeti mashuhuri la Wall Street Journal zimefichua mabadiliko makubwa katika msimamo wa Marekani kuhusiana na azimio dhidi ya Iran katika…
Ni marufuku: Rais Ramaphosa Awashukia Wanaowasaka Wageni Afrika Kusini
PRETORIA, AFRIKA KUSINI: Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, ametoa onyo kali dhidi ya makundi ya raia wanaojichukulia sheria mkononi kwa kuwasimamisha na kuwakagua vitambulisho raia wa kigeni mitaani. Akihutubia…