Tehran salama: hakuna majeruhi walioripotiwa hadi sasa baada ya mashambulizi ya Israel
TEHRAN, IRAN– Mkuu wa Idara ya Huduma za Dharura katika Mkoa wa Tehran, Mohammad Ismail Tavakoli, amewahakikishia wananchi kuwa hali ya usalama wa raia imeimarika na hakuna majeruhi yeyote aliyeripotiwa…
Iran yatetea shambulio lake: “ni haki yetu ya kujihami,” yaishutumu Marekani kwa kushirikiana na Israel
TEHRAN, IRAN Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Bwana Baghaei, ametoa tamko rasmi kufuatia hatua za kijeshi zilizochukuliwa na nchi hiyo, akisisitiza kuwa mashambulizi hayo yalikuwa ya…
Marufuku ya Baharini: Yemen imetangaza rasmi kupiga marufuku meli zote za Israel kupita katika Bahari ya Shamu kuanzia sasa
SANA’A, YEMEN – Msemaji wa Jeshi la Yemen, Yahya Saree, ametangaza rasmi kuzuia harakati zote za meli za Israel katika Bahari ya Shamu, akisisitiza kuwa marufuku hiyo inaanza kutekelezwa mara…
KISHINDO CHA ‘OPERESHENI NASR’: Iran Yashambulia Kambi za Anga za Israel
TEHRAN, IRANKitengo cha Uhusiano wa Umma cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) kimetangaza kuanza kwa operesheni kabambe ya kijeshi iitwayo “Nasr” dhidi ya maeneo nyeti…
“NIKO MAFICHONI”: Balozi wa Marekani Asimulia Vishindo vya Milipuko Inavyotikisa Israel
TEL AVIV, ISRAELBalozi wa Marekani nchini Israel ametoa taswira ya hofu na taharuki inayotanda nchini humo kufuatia mashambulizi makali ya makombora yanayoendelea kurindima katika maeneo mbalimbali. Kupitia ujumbe wa dharura…
Israel: Iran na Yemen zaanzisha mashambulizi ya pamoja ya makombora
TEL AVIV – Vyanzo vya habari kutoka ndani ya Israel vimeripoti kutokea kwa shambulio kubwa la makombora lililofanywa kwa ushirikiano kati ya nchi za Iran na Yemen dhidi ya maeneo…
Donald Trump, Amtaka Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, Kutotoa Jibu la Haraka Kufuatia Shambulio la Makombora.
Rais wa Marekani, Donald Trump, ameripotiwa kumtaka Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, kutotoa jibu la haraka kufuatia shambulio la makombora, na badala yake kusubiri kwa siku chache ili kutoa…
Mohsen Rezaee: Tuliwaonya
Afisa mwandamizi wa Iran; Mohsen Rezaee:Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ilikuwa imetangaza mara kwa mara kwamba haitavumilia ukiukaji wa usitishaji vita au uchokozi dhidi ya Lebanon. Usiku wa leo, wachokozi…
Mtego wa ‘mtu kichaa’: jinsi mbinu ya Trump ilivyogonga mwamba kwa Iran
Katika nyanja ya diplomasia na mahusiano ya kimataifa, jarida mashuhuri la Foreign Policy limeibua mjadala mzito kuhusu kurejea kwa Donald Trump na mbinu yake ya kipekee ya kigeni inayojulikana kama…
Pigo kwa Trump: ni asilimia 16 tu ya wamarekani wanaoamini ushindi katika vita dhidi ya Iran
WASHINGTON, MAREKANI Siku mia moja tangu kuanza kwa mivutano ya kivita dhidi ya Iran, Rais Donald Trump anaonekana kukwama katika juhudi zake za kushawishi umma wa Marekani kuunga mkono harakati…