Maswali yaibuka kuhusu uwenyeji wa Marekani wa Kombe la dunia baada ya mchezaji wa Iraq atiwa mbaroni masaa 7
Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) limeingia kwenye darubini baada ya mfungaji bora wa timu ya taifa ya Iraq kuzuiliwa kwa saa saba nchini Marekani akichukuliwa kama mshukiwa. Tukio…
Mgogoro wa Siri: Marekani Yaongeza Tahadhari ya Kiusalama Dhidi ya Ujasusi wa Israel
WASHINGTON, D.C. – Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) imetangaza kuongeza kiwango cha tahadhari ya kiusalama dhidi ya Israel, hatua inayotajwa kuchochewa na hofu ya kuwepo kwa shughuli za ujasusi…
Ukraine yapiga kambi ya jeshi ya Urusi jijini St. Petersburg kwa ndege zisizo na rubani
ST. PETERSBURG, URUSIKatika kile kinachoonekana kuwa ni mfululizo wa mashambulizi ya kushtukiza, jeshi la Ukraine alfajiri ya leo limefanya shambulio kubwa dhidi ya kambi ya kijeshi na maeneo mengine muhimu…
Papa Leo XIV : Uvamizi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran ni ukiukaji wa utu na amani ya kimataifa
VATIKAN – Papa Leo XIV ametoa tamko zito kuhusu mivutano ya kijeshi katika ukanda wa Mashariki ya Kati, akisisitiza kuwa mashambulizi ya kijeshi yanayofanywa na Marekani na Israel dhidi ya…
Ufaransa yanzisha uchunguzi wa kimataifa dhidi ya Israel kwa uhalifu wa kivita na utesaji
PARIS, UFARANSA – Serikali ya Ufaransa imetangaza rasmi kuanzisha uchunguzi wa kina wa jinai dhidi ya utawala wa Israel, kufuatia tuhuma nzito za uhalifu wa kivita na utesaji dhidi ya…
Jasusi wa Ufaransa ahukukumiwa miaka 20 jela nchini Mali kwa uhujumu uchumi
BAMAKO, MALI – Serikali ya mpito nchini Mali imetoa hukumu nzito ya kifungo cha miaka 20 jela dhidi ya afisa wa ujasusi wa Ufaransa, baada ya kumpata na hatia ya…
Ushirikiano wa Kimkakati: Iran na Russia Zazindua Miradi ya Nyuklia ya Dola Bilioni 25 na Njia Mpya ya Biashara
MOSCOW, RUSSIA – Iran na Russia zimepiga hatua kubwa katika kuimarisha uhusiano wao wa kiuchumi na kiufundi, huku zikiongeza kasi ya utekelezaji wa miradi mikubwa ya nishati ya nyuklia na…
Putin akataa kuonana na Zelenskyy, aita mazungumzo hayo “kupoteza muda”
MOSCOW/KYIV — Jitihada za kidiplomasia za kusaka amani katika mzozo unaoendelea kati ya Urusi na Ukraine zimepata pigo kubwa baada ya Rais wa Urusi, Vladimir Putin, kususia ombi la kufanya…
“Urusi imechagua vita badala ya amani” Zelensky baada ya putin kukataa wito wake
Akijibu uamuzi huo wa Urusi, Rais Zelenskyy amesema kuwa kwa kukataa wito wa mazungumzo, Urusi imeonesha wazi msimamo wake wa kuendeleza mapigano. "Kwa mara nyingine tena, Urusi imechagua vita badala…
Mvutano wa Kidiplomasia: Starmer Amjibu Vance Kuhusu Madai ya ‘Uingiliaji wa Kidemokrasia
LONDON, Uingereza – Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametoa onyo kali dhidi ya kile alichokitaja kama juhudi za makusudi za kuingilia kati misingi ya demokrasia ya Uingereza, kufuatia matamshi…