Waziri Mkuu wa Pakistan: Marekani na Iran wakubaliana kusitisha vita, mkataba wa amani kusainiwa Uswisi w
ISLAMABAD, PAKISTAN – Katika hatua ya kihistoria inayotarajiwa kubadili mwelekeo wa siasa za kijiografia duniani, Waziri Mkuu wa Pakistan, Shehbaz Sharif, ametangaza kufikiwa kwa makubaliano ya amani kati ya Marekani…
Shehbaz Sharifa: Makubaliano kati ya Iran na Marekani yanatarajiwa kufanyika ndani ya masaa 24
Waziri Mkuu wa Pakistan Shehbaz Sharif amesema kuwa makubaliano kati ya Iran na Marekani kwa lengo la kukumaliza vita yapo “karibu zaidi kuliko wakati mwingine wowote,” huku yakitarajiwa kukamilika ndani…
Mkanganyiko Washington: Waziri wa nishati akanusha kauli ya Trump kuhusu mafuta ya Iran
AWASHINGTON – Waziri wa Nishati wa Marekani, Chris Wright, amezua taharuki katika duru za kisiasa baada ya kutoa kauli inayopingana na Rais Donald Trump kuhusu operesheni za mafuta nchini Iran.…
PIGO KWA PUTIN: Uingereza Yanasa Meli ya Mafuta ya ‘Kivuli’ Katika Mkondo wa English Channel.
LONDON, Uingereza – Kwa mara ya kwanza, serikali ya Uingereza imefanya operesheni ya kuizuia meli ya mafuta inayohusishwa na kile kinachoitwa “msafara wa kivuli” (shadow fleet) wa Urusi, tukio ambalo…
KASHFA YA KIMATAIFA: Kampuni ya Israel Yadaiwa Kuingilia Chaguzi na Kuchafua Wanasiasa Katika Nchi Tano Duniani
PARIS, UFARANSA – Shirika la ujasusi wa kidijitali la Ufaransa, Viginum, limeibua kashfa nzito baada ya kuianika kampuni ya teknolojia ya nchini Israel iitwayo BlackCore, kwa tuhuma za kuingilia chaguzi…
Dassault Aviation Yataka Fidia kutoka Airbus Kufuatia Kusitishwa kwa Ununuzi wa Eurodrone nchini Ufaransa
PARIS – Kampuni ya utengenezaji wa ndege ya Dassault Aviation imetangaza nia yake ya kudai fidia kutoka kwa Airbus, kufuatia hatua ya Ufaransa kusitisha mpango wa ununuzi wa ndege zisizo…
Utayari wa Ndege za Kivita za F-35 Washuka kwa Kiasi Kikubwa Huku Gharama Zikipaa
WASHINGTON — Ripoti mpya iliyotolewa na Ofisi ya Uwajibikaji ya Serikali (GAO) imefichua kushuka kwa kiasi kikubwa kwa viwango vya utayari wa ndege za kivita za F-35 Lightning II kufikia…
NATO Yapanga Kumpa Kamanda Mkuu Mamlaka Zaidi Kukabiliana na Vitisho vya Anga
Wanachama wa Jumuiya ya Kujihami ya Atlantiki ya Kaskazini (NATO) wanatarajiwa kuidhinisha hatua mpya katika mkutano wao ujao utakaofanyika mwezi ujao mjini Ankara, hatua zitakazoongeza mamlaka ya Kamanda Mkuu wa…
Marekani Yatangaza Kuuawa kwa Kiongozi wa Tren de Aragua Nchini Venezuela
Serikali ya Marekani imetangaza kuuawa kwa Niño Guerrero, anayedaiwa kuwa kiongozi wa kundi la uhalifu la Tren de Aragua, kufuatia operesheni ya kijeshi iliyofanywa nchini Venezuela. Katika taarifa yake, Rais…
UAE zimejipanga kufungulia mabilioni ya dola kwa ajili ya Iran.
HABARI MPYA: Falme za Kiarabu (UAE) zimejipanga kufungulia mabilioni ya dola kwa ajili ya Iran. Angalau dola bilioni 10 zitatolewa, huku dola bilioni 3 za kwanza zikiwa tayari zimekabidhiwa, na…