“Bila mimi, Israel haitakuwepo” – rais Trump apiga mkwara mzito, akosoa mashambulizi ya Beirut
WASHINGTON, MAREKANI Rais wa Marekani, Donald Trump, amedai kuwepo kwa taifa la Israel kunategemea mchango wake binafsi, huku akionyesha kutoridhishwa na namna nchi hiyo inavyoendesha operesheni zake za kijeshi nchini…
Uingereza kufadhili Nishati ya Nyuklia Ukraine: Mkakati wa Pauni Milioni 210 Wafikiwa G7
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametoa ahadi nzito katika mkutano wa kilele wa G7 kwa kuweka bayana mkakati mpya wa kuimarisha usalama wa nishati nchini Ukraine. Katika hatua inayolenga…
FIFA Yapendekeza Mechi ya Israel na Palestina Uwanjani, Je hili ni la jaribio kuosha maovu ya Israel?
Baadhi wametaja suala hili kama jaribio la FIFA kusafisha maovu ya Israel, haswa ikizingatiwa kushindwa kwa FIFA kuipiga marufuku Israel. Shirikisho hilo halikuona haya kusema kwamba soka haitotumika kutatua matatizo…
Lukashenko aiwashia moto Israel: “Hakuna tukio la kihistoria linalohalalisha mauaji ya watoto Gaza”
“Sasa wanazungumzia kujenga aina fulani ya maeneo ya starehe juu ya mifupa ya wafu. Huo ni upumbavu mtupu,” alisema Rais Lukashenko.
“B- 52 mwavuli wa nyuklia” : Ndege ya mashambulizi ya masafa marefu ya Marekani yaanguka
CALIFORNIA, MAREKANI Jeshi la Anga la Marekani limepata pigo kubwa baada ya moja ya ndege zake muhimu na zenye nguvu zaidi, aina ya B-52 Stratofortress, kuanguka muda mfupi baada ya…
MSIMAMO WA TEHRAN: Iran Yasisitiza Kusitishwa kwa Vita Lebanon ni Sharti la Lazima katika Makubaliano ya Amani
TEHRAN, IRAN – Serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa tamko zito kuhusu mwelekeo wa amani katika ukanda wa Mashariki ya Kati, ikisisitiza kuwa kukomeshwa kwa vita nchini Lebanon…
“Israel sio kibaraka cha mtu” Waziri wa usalama wa Israel Ben-Gvir agomea mkataba wa Trump
JERUSALEM – Waziri wa Usalama wa Taifa wa Israel, Itamar Ben-Gvir, ametoa kauli nzito inayozua mjadala mpana, akisisitiza kuwa nchi yake haitafungwa na makubaliano yoyote yaliyofikiwa na Rais wa Marekani,…
Obama “Vita vya Trump dhidi ya Iran vimefeli, hakuna njia mbadala isipokuwa suluhisho la kidiplomasia
WASHINGTON, MAREKANI Aliyekuwa Rais wa Marekani, Barack Obama, ametoa kauli nzito akikosoa vikali sera za Donald Trump, kuhusiana na mzozo kati ya Marekani na Iran. Katika kile kinachoonekana kama tathmini…
Ulaya Yasema Ipo Tayari Kuondoa Vikwazo kwa Iran Ikiwa Itachukua Hatua za Nyuklia
Uingereza, Ufaransa, Ujerumani na Italia zimetangaza kuwa ziko tayari kuondoa baadhi ya vikwazo vinavyohusiana na Iran iwapo Tehran itachukua hatua zilizo wazi na zinazoweza kuthibitishwa kuhusu mpango wake wa nyuklia.…
Iran na Marekani Zapendekeza Rasimu ya Makubaliano ya Vipengele 14 Kupunguza Mvutano
Rasimu ya makubaliano yenye vipengele 14 kati ya Iran na Marekani, inayoripotiwa kuandaliwa, inapendekeza yafuatayo: – Kusitishwa mara moja na kwa kudumu kwa mapigano katika maeneo yote ya migogoro, ikiwemo…