Times of Israel yateta unyama wa mazayuni: “tumechupa mipaka yote ya ubinadamu”
Gazeti la Times of Israel limetoa tahariri likikosoa vikali tukio la kufukuliwa kwa kaburi la Mpalestina linalodaiwa kufanywa na walowezi wakiwa chini ya uangalizi wa jeshi la Israel. Gazeti hilo…