Waziri wa Israel ashinikiza Gaza itekwe kikamilifu na ikaliwe kimabavu na walowezi wa Israel
TEL AVIV, ISRAEL Waziri wa Fedha wa Israel, Bezalel Smotrich, ametoa kauli nzito akitaka nchi hiyo kuchukua hatua za kijeshi na kisiasa za kudumu katika Ukanda wa Gaza. Smotrich amesisitiza…
Iran Yafunga Mlango wa Bahari wa Hormuz kwa Meli, Yatishia Hatua Kali Zaidi
TEHRAN, IRAN – Katika hali ya kuongezeka kwa mvutano katika Mashariki ya Kati, jeshi la Iran kupitia makao makuu yake ya Khatam al-Anbia, limetangaza rasmi kufungwa kwa Mlango-Bahari wa Hormuz…
Qatar Yamzawadia Trump Ndege ya Kifahari ya Muda
Rais Donald Trump amezindua ndege mpya ya muda itakayotumiwa na rais katika Kituo cha Jeshi cha Andrews, huko Maryland. Ndege hiyo ya kifahari, ambayo ni msaada kutoka nchi ya Qatar,…
Wanasayansi: Aina ya sasa ya Ebola imeitoka kwa wanyamapori
Ugonjwa wa sasa wa Ebola, ambao ulizuka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Uganda mwezi uliopita, ni matokeo ya kuenea kwa wanyamapori. Haya yameelezwa na wanasayansi kutoka nchi hizo…
KOREA KASKAZINI: Kwa nini Trump Anajihisi Ameshindwa?
Rais wa Korea Kusini, Lee Jae Myung, ametoa kauli nzito inayofichua hali ya sintofahamu inayomkabili Rais wa Marekani, Donald Trump, kuhusiana na mkwamo wa kidiplomasia kati ya Washington na Pyongyang.…
Mapigano makali Lebanon: wanajeshi 4 wa Israel wauawa, huku Israel ikiuwa raia 18
BEIRUT, LEBANON – Hali ya usalama nchini Lebanon imeendelea kuwa tete baada ya jeshi vamizi la Israel (IOF) kutangaza leo Ijumaa kuwa wanajeshi wake wanne wameuawa usiku wa kuamkia leo…
MAHUSIANO YAINGIA DOSARI: Jinsi Kauli ya Trump Ilivyochafua Hali ya Hewa Kati ya Italia na Marekani
ROMA, ITALIA – Hali ya kidiplomasia kati ya Marekani na Italia imeingia katika msukosuko mkubwa baada ya Rais wa Marekani, Donald Trump, kutoa kauli za kudhalilisha dhidi ya Waziri Mkuu…
Mazungumzo ya Kiufundi ya Marekani na Iran Yasimamishwa Ghafla Baada ya Vance Kughairi Safari ya Uswisi
Mazungumzo ya kiufundi kati ya Marekani na Iran kuhusu hati ya makubaliano (MOU) iliyosainiwa yalipangwa kufanyika nchini Uswisi siku ya Ijumaa, lakini yalisimamishwa ghafla baada ya Makamu wa Rais wa…
Rice aiponda serikali ya Trump: “makubaliano na Iran ni waraka wa kusalimu amri”
WASHINGTON D.C, MAREKANI – Aliyekuwa Mshauri wa Usalama wa Taifa wa Marekani, Susan Rice, ametoa shutuma nzito dhidi ya makubaliano mapya yaliyofikiwa kati ya serikali ya Marekani na Jamhuri ya…
“Tusipoibadilisha Serikali Hii, Uhusiano wa Israel na Dunia Utatoweka” – Yair Lapid
TEL AVIV, ISRAEL – Kiongozi wa upinzani nchini Israel, Yair Lapid, ametoa tamko zito kupitia ukurasa wake wa kijamii, akitahadharisha juu ya kile alichokiita “kuporomoka kwa diplomasia ya nchi hiyo”…