Macron aonya dhidi ya matumizi ya nguvu Iran: ” utawala hauwezi kubadilishwa kwa mabomu”
PARIS, UFARANSA Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, ametoa msimamo thabiti na wa tahadhari kuhusiana na mzozo wa Iran, akisisitiza kuwa mabadiliko ya utawala nchini humo hayawezi na hayapaswi kupatikana kupitia…
“Tutamuondoa kwa mawe na vigongo” – Ehud Barak amvamia Netanyahu, adai anatumia vita kukwepa mkono wa sheria
JERUSALEM: Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Israel, Ehud Barak, amezua taharuki katika ulingo wa siasa nchini humo kufuatia kauli yake nzito dhidi ya Waziri Mkuu aliyeko madarakani, Benjamin Netanyahu, akimtuhumu kwa…
Khamenei: “Hatutarajii Urafiki, Bali Utekelezaji wa Haki”
TEHRAN, IRAN – Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran ametoa msimamo wake rasmi kuhusu makubaliano mapya yaliyotiwa saini kati ya Rais wa Iran na Rais wa Marekani. Katika ujumbe…
“SISI NI TAIFA KUBWA DUNIANI”: Iran atamba kushinda mataifa yenye nguvu za Nyuklia
TEHRAN, Iran – Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baghaei, ametoa tamko zito akisisitiza kuwa hadhi ya Iran kama taifa lenye nguvu kubwa duniani (superpower) si…
MAREKANI NA IRAN ZAKAMILISHA MKATABA WA MAELEWANO; MAZUNGUMZO YA KIUFUNDI KUANZA SWITZERLAND
TEHRAN – Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imethibitisha rasmi kufikiwa kwa makubaliano muhimu kati ya Iran na Marekani, baada ya Marais wa mataifa yote mawili, Masoud Pezeshkian na…
Iran Yasisitiza Kutohamishwa Nyezo zake za Nyuklia na Kuonya Dhidi ya Ukiukaji wa Makubaliano
TEHRAN, IRAN – Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmail Baghaei, ametoa msimamo mkali wa nchi yake kuhusu mchakato wa nyuklia, akisisitiza kuwa Iran haitakubali kuhamisha nyenzo…
Uhusiano wa Trump na Netanyahu wazidi kuwa na mvutano kuhusiana na sera za Iran
WASHINGTON – Uhusiano kati ya Rais mteule Donald Trump na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, unaonekana kuingia katika kipindi kigumu cha kutoelewana, huku viongozi hao wawili wakionyesha mitazamo tofauti…
Marekani na Iran Zatia Saini Hati ya Maelewano ya Islamabad Kusitisha Vita
TEHRAN/WASHINGTON – Katika hatua ya kihistoria ya kidiplomasia, Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian, na Rais wa Marekani, Donald Trump, wametia saini hati muhimu ya maelewano inayolenga…
Mchambuzi: Kushindwa kwa Marekani dhidi ya Iran ni Pigo Kubwa Kuliko Vita vya Vietnam
Mchambuzi wa masuala ya kimataifa Paul Musgrave ameandika katika jarida la Foreign Policy akidai kuwa kushindwa kwa Marekani katika vita vya karibuni dhidi ya Iran ni “janga la kimkakati” linalozidi…
UCHAMBUZI: Jinsi ‘Kivuli cha Kisiasa’ Kinavyotumika Kuendeleza Mashambulizi Ukanda wa Gaza.
GAZA – Wakati macho ya jumuiya ya kimataifa yakielekezwa kwingine, ripoti mpya zimeibua wasiwasi mkubwa zikidai kuwa mauaji ya kiholela yanaendelea bila kikomo katika Ukanda wa Gaza, licha ya kuwepo…