Marekani Yaidhinisha Mpango wa Dola Milioni 700 wa Injini za Ndege kwa Uturuki
WASHINGTON D.C. — Katika hatua inayotajwa kuwa ishara ya kurejea kwa ushirikiano wa kijeshi, utawala wa Rais Donald Trump umeliarifu rasmi Bunge la Marekani nia yake ya kuidhinisha mkataba wa…
Burkina Faso Yakata Rasmi Mahusiano ya Kidiplomasia na Ufaransa
Serikali ya Burkina Faso imetangaza rasmi kukata uhusiano wa kidiplomasia na Ufaransa, hatua inayotarajiwa kubadilisha mwelekeo wa mahusiano ya kisiasa kati ya nchi hizo mbili. Katika taarifa iliyotolewa na mamlaka…
IRGC: Jeshi la Wanamaji lajibu shambulio la Marekani katika eneo la Mlango wa Hormuz
Jeshi la Wanamaji la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa limejibu kile lilichokiita uchokozi na uvunjaji wa ahadi uliofanywa na Marekani katika eneo la Mlango wa Hormuz. Kwa…
MKONO WA CHUMA: Ramaphosa Aapa Kusambaratisha Maandamano ya Kupinga Wageni
JOHANNESBURG, AFRIKA KUSINI Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, ametoa onyo kali na la mwisho kwa kikundi au mtu yeyote anayepanga kutumia maandamano ya kupinga wahamiaji kama kigezo cha kuvuruga…
TRUMP KIKAANGONI: Nyaraka Mpya za Epstein Zaibua Madai ya Unyanyasaji wa Binti wa Miaka 13
WASHINGTON, MAREKANI Shinikizo la kisheria limeongezeka dhidi ya Wizara ya Sheria ya Marekani kufuatia agizo jipya la mahakama linalotaka kuwekwa wazi kwa nyaraka nyeti zinazohusiana na mfanyabiashara marehemu Jeffrey Epstein,…
Marekani yaiwekea vikwazo Rwanda kwa tuhuma za magendo ya Dhahabu
KIGALI/WASHINGTON – Serikali ya Marekani imetangaza hatua kali za kiuchumi dhidi ya watu wawili na makampuni manne ya madini nchini Rwanda, ikituhumiwa kuhusika katika mnyororo wa biashara haramu ya madini…
MAPINDUZI YA KIDIPLOMASIA: Waziri Mkuu Mark Carney Ataka Canada Iirejee Iran na Venezuela
(OTTAWA, CANADA): Waziri Mkuu wa Canada, Mark Carney, ametoa mwito wa kihistoria akitaka nchi yake ifungue upya ofisi zake za kidiplomasia nchini Iran na Venezuela, hatua inayotajwa kuwa na mwelekeo…
Je, Vita vya Siku 40 Ndio Mwanzo wa Kufifia kwa Ubabe wa Washington Duniani?
(DUNIA): Katika siku za hivi karibuni, kumeibuka mjadala mzito miongoni mwa wasomi na wachambuzi wa masuala ya kisiasa katika mataifa ya Magharibi, huku neno “Wakati wa Suez kwa Marekani” likitawala…
Iran Yaikatilia Marekani: “Hatutanunua Bidhaa Zenu kwa Fedha Zetu Zilizokuwa Zimezuiliwa.”
TEHRAN, IRAN Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Bagher Ghalibaf, amekanusha vikali madai yaliyotolewa na serikali ya Marekani (Washington) kwamba Iran inapanga kutumia fedha zake zilizokuwa zimezuiliwa kwa ajili ya…
Italia yakanusha vikali matumizi ya viwanja vyake vya ndege kwenye uvamizi wa Iran
ROMA, ITALIA – Waziri wa Ulinzi wa Italia, Guido Crosetto, amekanusha vikali madai yanayoashiria kuwa serikali yake imetoa idhini kwa Marekani kutumia vituo vyake vya kijeshi kama ngome ya operesheni…