DONALD TRUMP AVISHUTUMU VYOMBO VYA HABARI KWA UPOTOSHAJI
WASHINGTON D.C. – Rais wa Marekani, Donald J. Trump, ametoa tamko kali kupitia mtandao wake wa kijamii akivishambulia vyombo vikuu vya habari na wapinzani wake wa kisiasa, akidai kuwepo kwa…
WASHINGTON D.C. – Rais wa Marekani, Donald J. Trump, ametoa tamko kali kupitia mtandao wake wa kijamii akivishambulia vyombo vikuu vya habari na wapinzani wake wa kisiasa, akidai kuwepo kwa…
Kituo cha televisheni cha Channel 13 nchini Israel kimeripoti kuhusu mabadiliko ya mbinu za kivita za kundi la Hzb. Allah, kufuatia shambulio la hivi karibuni lililojeruhi wanajeshi wanne wa Israel.…
JOHANNESBURG, 17 Mei 2026 — Kiongozi wa chama cha Economic Freedom Fighters (EFF), Julius Malema, amezua mjadala kufuatia kauli yake ya kuhoji namna janga la COVID‑19 lilivyodai maisha ya aliyekuwa…
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche, amesema amepokea taarifa kutoka kwa mdogo wa Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu, kuwa Lissu anaumwa tumbo na anapata…
Delhi, Mei 18, 2026 – Rais wa Marekani Donald J. Trump amechapisha picha yenye ramani ya eneo la Mashariki ya Kati iliyopambwa kwa bendera ya Marekani, ikionyesha mishale mingi ikilenga…
Waziri wa zamani wa Ulinzi wa Marekani, Robert Gates, amesema kuwa Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, alimweleza mwaka 2009 kwamba serikali ya Iran ilikuwa dhaifu na ingeanguka mara tu…
Wizara ya Ulinzi ya Iran imesema jeshi la nchi hiyo liko tayari kikamilifu kukabiliana na shambulio lolote jipya linaloweza kufanywa dhidi ya Iran na Marekani au Israel. Akizungumza kando ya…
Mwanaharakati Francis Awino amefungua kesi katika Mahakama Kuu ya Nairobi kupinga ongezeko la hivi karibuni la bei ya mafuta lililotangazwa na Mamlaka ya Kudhibiti Nishati na Petroli (EPRA) tarehe 14…
Gavana wa Siaya, James Orengo, ametangaza nia ya kugombea urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2027, hatua inayotafsiriwa na wachambuzi kama mwanzo wa mapambano makali dhidi ya Rais William Ruto.Tangazo…
Yemen wadai kuitungua droni ya Marekani aina ya MQ-9 Reaper katika eneo la Safer, mkoani Marib.Mpaka sasa, hakuna tamko rasmi lililotolewa na msemaji wa jeshi la Yemen, Yahya Saree, kuhusu…