Wabunge wa Marekani Wataka Uwazi Kuhusu Mpango wa Nyuklia wa Israel
Kundi la wabunge 30 wa Chama cha Democratic katika Baraza la Wawakilishi la Marekani wameitaka Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani kukomesha kile walichokiita “utata wa miongo kadhaa” kuhusu…