Lukashenko aiwashia moto Israel: “Hakuna tukio la kihistoria linalohalalisha mauaji ya watoto Gaza”
“Sasa wanazungumzia kujenga aina fulani ya maeneo ya starehe juu ya mifupa ya wafu. Huo ni upumbavu mtupu,” alisema Rais Lukashenko.
“Sasa wanazungumzia kujenga aina fulani ya maeneo ya starehe juu ya mifupa ya wafu. Huo ni upumbavu mtupu,” alisema Rais Lukashenko.