Kimya cha kushangaza cha al‑Joulani juu ununuzi wa ardhi za Syria na mashirika ya kiyahudi
Vyombo vya habari vya Kiarabu vimeripoti kuongezeka kwa ununuzi wa ardhi za kilimo kusini mwa Syria unaofanywa na watu wenye uraia wa nchi mbili wanaodaiwa kuwa na uhusiano na mashirika…