Ongezeko la vifo kabla ya Hija laibua taharuki nchini Saudi Arabia
Ripoti za kuongezeka vifo baina ya mahujaji waliokwenda Saudi Arabia kutekeleza ibada ya Hija imezua wasiwasi na taharuki baina ya viongozi na wasimamizi wa ibada hiyo.Wasaudia wanasisitiza kwamba ongezeko la…