Rais Donald Trump amesema katika mahojiano na ABC News kwamba mashambulizi dhidi ya Iran yalikuwa “mguso mdogo tu,” akisisitiza kuwa makubaliano ya usitishaji vita bado yanaendelea kutekelezwa.

Akizungumza na kituo hicho, Trump alisema: “Ni mguso mdogo tu,” akimaanisha mashambulizi hayo.

Aidha aliongeza kuwa usitishaji vita bado upo na unaendelea kutekelezwa.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *