Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza kusitishwa kwa muda kwa mpango unaojulikana kama “Project Freedom,” ambao ni mpango unaoongozwa na Marekani uliolenga kuratibu na kulinda harakati za meli zinazopita katika Mlango wa Hormuz.
Taarifa hiyo ilitolewa katika taarifa rasmi, ambapo Trump alieleza kuwa kusitishwa huko ni kwa muda huku tathmini zaidi kuhusu hatua zinazofuata ikiendelea kufanywa.
Je, ni kweli Trump anafanya tathmini au Project imefeli ya kumtoa Muajemi?