Chombo cha habari cha kiisraeli “Channel 12” katika uchambuzi wake kimeashiria kuporomoka pakubwa kwa nafasi ya Israel katika kiwango cha kimataifa.

Katika uchambuzi huo, mtandao huo umekiri kuwa jina la Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, kwa watu wengi duniani limeanza kuonekana kama alama ya “shetani”, jambo linaloonyesha kuongezeka kwa ukosoaji na mtazamo hasi dhidi ya Israel na uongozi wake katika jamii ya kimataifa.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *