Kimya cha kushangaza cha al‑Joulani juu ununuzi wa ardhi za Syria na mashirika ya kiyahudi
Vyombo vya habari vya Kiarabu vimeripoti kuongezeka kwa ununuzi wa ardhi za kilimo kusini mwa Syria unaofanywa na watu wenye uraia wa nchi mbili wanaodaiwa kuwa na uhusiano na mashirika…
Rais Donald Trump na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu wanaripotiwa kuwa wanashirikiana kusaidia kurejeshwa madarakani kwa Rais wa zamani wa Honduras, Juan Orlando Hernández.
Donald Trump na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, wanaripotiwa kushirikiana katika juhudi za kumuunga mkono Rais wa zamani wa Honduras, Juan Orlando Hernández, kurejea madarakani. Kwa mujibu wa uchunguzi…
Ghana, Nigeria zamwita balozi wa Afrika Kusini kuhusu chuki dhidi ya wageni
Wimbi jipya la mashambulizi ya chuki dhidi ya wageni, linalowalenga wahamiaji wa Kiafrika na biashara zao huko Afrika Kusini linatishia kuteteresha uhusiano wa nchi hiyo na nchi nyingine za Afrika.Katika…
Wabunge wa Marekani Wataka Uwazi Kuhusu Mpango wa Nyuklia wa Israel
Kundi la wabunge 30 wa Chama cha Democratic katika Baraza la Wawakilishi la Marekani wameitaka Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani kukomesha kile walichokiita “utata wa miongo kadhaa” kuhusu…
Iran yaishutumu UAE kwa ushirikiano na Marekani na Israel, yaonya kuhusu hatua ya kujibu
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imeilaani Abu Dhabi kwa kushirikiana na Marekani na Israel dhidi ya Iran, hasa kwa kuruhusu kuwepo kwa kambi za kijeshi na vifaa vya…
Sudan yazituhumu UAE naEthiopia kwa shambulio lauwanja wa ndege wa Khartoum
Serikali ya Sudan imezituhumu Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) na Ethiopia kuhusika na shambulio la ndege zisizo na rubani (drones) lililolenga Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Khartoum, msemaji…
Iran yakana tuhuma za mashambulizi UAE yasema sio kawaida yake kuficha mapigo
Msemaji wa Makao Makuu ya Khatam al‑Anbiya amesema kuwa Iran itatoa “jibu kali na la kuangamiza” iwapo hatua yoyote ya kijeshi dhidi ya nchi hiyo itafanywa kutoka ardhi ya Umoja…
Iran yaharibu mpango wa Trump kuhusu Kombe la Dunia
Iran imevuruga mipango ya Rais wa Marekani, Donald Trump, si tu katika nyanja za uchumi, siasa na masuala ya kijeshi kufuatia mvutano kati ya pande hizo mbili, bali pia katika…
Waziri Araqchi: suluhu ya kijeshi ni jambo lisilowezekana
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Seyed Abbas Araghchi, amesema kuwa matukio ya karibuni katika Mlango wa Bahari wa Hormuz yameweka wazi tena kwamba hakuna suluhisho la kijeshi kwa…
Makombora Mawili Yapiga Meli ya Kivita ya Marekani Baada ya Kupuuza Onyo la Iran
JASK, IRAN — Vyanzo vya habari vya eneo la Kusini vimeripoti tukio la mashambulizi ya makombora mawili yaliyolenga meli ya kivita ya Marekani katika maji ya karibu na Jask, nchini…