Trump Aitaka Iran Kutoa Jibu la Haraka kwa Pendekezo lake la Amania
Kituo cha Al-Arabiya kikinukuu chanzo cha serikali ya Pakistan kimeripoti kuwa Rais wa Marekani ameiomba Iran kutoa jibu la haraka kwa pendekezo la amani lililotumwa na Washington. Kwa mujibu wa…
Rais Tshisekedi aazimia kugombea muhula wa tatu wa urais, Kongo
Rais Félix Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amezungumzia uwezekano wa kugombea kiti cha urais kwa muhula wa tatu, akisema atakubali kuendelea kuiongoza nchi hiyo iwapo ataungwa mkono na…
Wakristo nchini Lebanon walaani vikali jeshi vamizi la Israel kukosea heshima matukufu yao
Wakatoliki nchini Lebanon wameeleza masikitiko yao kufuatia picha iliyoenea mtandaoni ikimuonyesha askari wa Israeli akivuta sigara akiwa ameishirikisha sanamu ya Bikira Maria. Tukio hilo liliripotiwa kutokea katika kijiji cha Kikristo…
China yalaani vikali uvamizi wa Iran yasema ipo thabiti pamoja nayo
Waziri wa Mambo ya Nje wa China, Wang Yi, ametangaza kuwa operesheni ya kijeshi inayoendelea dhidi ya Iran ni kinyume cha sheria, huku akisisitiza kuwa Beijing inaendelea kuiunga mkono Tehran…
Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza kwamba “Project Freedom,” mpango unaoongozwa na Marekani kwa ajili ya harakati za meli kupitia Mlango wa Hormuz, utasitishwa kwa muda.
Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza kusitishwa kwa muda kwa mpango unaojulikana kama “Project Freedom,” ambao ni mpango unaoongozwa na Marekani uliolenga kuratibu na kulinda harakati za meli zinazopita katika…
Serikali ya Kenya Yashukuru Mapokezi ya Tanzania, Yaahidi Kuimarisha Ushirikiano wa Kikanda
Serikali ya Kenya imetoa shukrani kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, pamoja na wananchi wa Tanzania kwa mapokezi ya kipekee na ukarimu waliouonyesha wakati wa…
Ripoti: Operesheni ya Ulinzi ya Marekani Haijabadilisha Hali ya Usafirishaji Hormuz
Ripoti iliyochapishwa na Axios inaonyesha kuwa operesheni ya ulinzi iliyoanzishwa na Marekani haikuleta mabadiliko makubwa katika saa 24 za kwanza za utekelezaji wake, hasa katika mtiririko wa mafuta na mizigo…
Trump Abadilisha Tena Ratiba ya Kumalizika kwa Uvamizi Dhidi ya Iran
Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza tena muda mpya wa kumalizika kwa vita dhidi ya Iran, akisema kuwa mapigano hayo huenda yakachukua “wiki mbili hadi tatu zaidi”.
New York Times: Meli zimekataa kuvuka Mlango wa Hormuz licha ya kauli ya Trump
Makampuni ya usafirishaji baharini yameripotiwa kuwa na wasiwasi mkubwa kuhusu kutuma meli zao kupita katika Mlango wa Hormuz, mojawapo ya njia muhimu zaidi za usafirishaji wa mafuta duniani. Baadhi ya…
Ugiriki yafungua uchunguzi baada ya malalamiko ya Hind Rajab Foundation kuhusu uhalifu wa vita huko Gaza
Ugiriki Yaanza Uchunguzi Kufuatia Malalamiko Kuhusu Uhalifu wa Vita Gaza. Mamlaka za Ugiriki zimeanzisha uchunguzi wa awali kufuatia malalamiko ya kisheria yaliyowasilishwa mjini Athens na Hind Rajab Foundation kwa kushirikiana…