Trump: mashambulizi dhidi ya iran ni love tap “mguso mdogo tu”, usitishaji vita bado unaendelea
Rais Donald Trump amesema katika mahojiano na ABC News kwamba mashambulizi dhidi ya Iran yalikuwa “mguso mdogo tu,” akisisitiza kuwa makubaliano ya usitishaji vita bado yanaendelea kutekelezwa. Akizungumza na kituo…
Rais wa Sudan Kusini awafuta kazi Mkuu wa Jeshi na Waziri wa Fedha
Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini amewafukuza kazi Mkuu wa Jeshi na Waziri wa Fedha. Waziri wa Fedha alikuwa amehudumu katika wadhifa huo chini ya wiki mbili. Hatua hiyo ni…
Marekani Imekiuka Mkataba wa Kusitisha Vita, Imelenga Meli ya Mafuta ya Iran Karibu na Mlango wa Hormuz
Iran imedai kuwa majeshi ya Marekani yamekiuka makubaliano ya kusitisha mapigano baada ya kushambulia tanker ya mafuta ya Iran iliyokuwa ikielekea Mlango wa Hormuz kutoka maji ya pwani karibu na…
Saudi Arabia yafunga anga na kambi zake za kijeshi kwa Marekani
Vyanzo vyenye taarifa katika eneo la Ghuba ya Uajemi vimeripoti kuwa Saudi Arabia imefunga anga yake pamoja na baadhi ya kambi zake za kijeshi kwa matumizi ya Marekani. Hatua hiyo…
Jeshi la Iran lapiga meli za Marekani baada ya Marekani kukiuka maagano ya usitishaji wa vita
Msemaji wa Makao Makuu ya Khatam al‑Anbiya ametangaza kuwa jeshi la Marekani limetekeleza mashambulizi dhidi ya meli za Iran na maeneo ya pwani, kitendo ambacho kimetajwa kuwa uvunjaji wa makubaliano…
Mvutano wazuka Real Madrid: Valverde na Tchouaméni wadaiwa kupigana mazoezini
Klabu ya Real Madrid imekumbwa na taarifa za sintofahamu baada ya ripoti kutoka vyombo mbalimbali vya habari vya kimataifa kudai kuwa viungo wa timu hiyo, Federico Valverde na Aurélien Tchouaméni,…
China yawahukumu kifo mawaziri wawili wa zamani wa ulinzi
Beijing — Katika hatua ya kushangaza huku kukiendelea msako ndani ya jeshi lake, China siku ya Alhamisi iliwapa mawaziri wake wawili wa zamani wa ulinzi adhabu ya kifo iliyoahirishwa kwa…
Ufaransa: “Tunalipa gharama ya vita ambavyo hatukuvichagua”
Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa ameonya kuwa uwezekano wa kuondoa vikwazo dhidi ya Iran haupo kabisa hadi pale Mlango wa Hormuz utakapofunguliwa, akibainisha msimamo mkali wa Paris kuhusu…
Didier Drogba Tanzania
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mshambuliaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya Ivory Coast na Timu ya Chelsea ya Uingereza…
Washington Post: uharibifu uliofanywa na Iran ni mkubwa kuliko maelezo
Uchambuzi wa picha za satelaiti uliofanywa na gazeti la Washington Post unaonyesha kuwa tangu kuanza kwa vita, mashambulizi ya Iran yameharibu au kuathiri angalau miundombinu na vifaa 228 katika vituo…