Mgombea urais wa Ufaransa Mélenchon Aishutumu Israel, Asema Ni Tishio Kubwa Zaidi Mashariki ya Kati
Jean-Luc Mélenchon, mgombea wa urais wa Ufaransa, amesema kuwa Israel kwa sasa ndiyo nchi hatari zaidi katika eneo la Mashariki ya Kati. Ameieleza Israel kuwa ndiyo inayowashambulia majirani zake, kuchochea…
Wall Street Journal: Iran yaibananga Marekani katika Vita vya Masimulizi
Gazeti la Wall Street Journal limeripoti kuwa Iran inaendelea kupata nguvu katika vita vya taarifa kupitia uzalishaji na usambazaji wa video kadhaa zilizotengenezwa kwa kutumia teknolojia ya akili bandia (AI).…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar ajadili na JD Vance kupunguza mvutano Mashariki ya Kati
Washington — Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amekutana na Makamu wa Rais wa Marekani, J.D. Vance, mjini Washington kujadili juhudi za kupunguza mvutano katika eneo.…
Trump “amechoshwa” na amekasirishwa na vita vya Iran
Trump anaripotiwa kuchoshwa na kukatishwa tamaa na vita dhidi ya Iran, huku mzozo huo ukiendelea kwa muda mrefu zaidi kuliko alivyotarajia na bila dalili ya ushindi wa wazi. Kulingana na…
Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani,Iran sasa ina nguvu ya kushinikiza
Antony Blinken, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, amesema kuwa hali ya sasa inaonyesha kuwa Iran imepata nafasi ya kutumia nguvu ya ushawishi katika mwelekeo wa mazungumzo na…
UAE imetuma Dola Milioni 100 kwa “Bodi ya Amani” ya Trump kwa mafunzo ya kikosi kipya cha polisi cha Gaza
Falme za Kiarabu (UAE) zimetoa dola milioni 100 kwa taasisi inayoungwa mkono na Marekani ijulikanayo kama "Board of Peace" kwa ajili ya kufadhili mafunzo ya kikosi kipya cha polisi wa…
Rais Pezeshkian Amemsifia Kiongozi Muadhamu baada ya kukutana naye kwa muda wa masaa 2
Rais Masoud Pezeshkian amesimulia kwa kina mkutano wake wa hivi karibuni na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyyed Mojtaba Khamenei, akielezea hali ya kikao hicho pamoja na sifa…
Crystal Palace yatinga fainali ya Conference League Ulaya baada ya kuifunga tena Shakhtar Donetsk
Crystal Palace imefanikiwa kutinga fainali ya Ligi ya Mkutano Ulaya baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Shakhtar Donetsk ya Ukraine katika mchezo wa marudiano wa nusu…
Urusi na China kupinga azimio la Marekani la Hormuz dhidi ya Iran katika umoja wa mataifa
Urusi na China zinatarajiwa kupiga kura ya turufu dhidi ya rasimu ya azimio lililowasilishwa na Bahrain na Marekani kuhusu hali ya usalama katika Mlango wa Hormuz, kwa mujibu wa ripoti…
CBS: Mashambulizi mapya dhidi ya meli za kivita za Marekani yalikuwa makali zaidi kuliko yale ya siku chache zilizopita
Washington, Marekani — Vyanzo vya shirika la habari la CBS vimeripoti kuwa meli za kivita za Marekani, USS Truxtun na USS Mason, zimeshambuliwa vikali na vikosi vya Iran katika Bahari…