Kutoka Uraibu Hadi Usalama wa Watoto: Von der Leyen Atangaza Vita Dhidi ya TikTok, Meta na X
Ursula von der Leyen amesema kuwa hatua zinachukuliwa dhidi ya TikTok kutokana na muundo wake unaodaiwa kuchochea uraibu kwa watumiaji. Amesema vipengele kama kuvinjari bila kikomo, video kuchezwa zenyewe, pamoja…
Saudi Arabia Yafanya Mashambulizi ya Anga Dhidi ya Iran, Reuters Yaripoti.
Shirika la habari la Reuters limeripoti kuwa Saudi Arabia ilifanya mashambulizi kadhaa ya anga dhidi ya Iran mwishoni mwa mwezi Machi, ikiwa ni hatua ya kujibu mashambulizi ya makombora na…
Joe Kent Afisa wa Zamani wa Serikali ya Trump: Israel Ilimdanganya Trump Kuhusu Iran
WASHINGTON — Aliyekuwa mkurugenzi wa Kituo cha Kitaifa cha Kupambana na Ugaidi cha Marekani wa serikali ya Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa rais huyo anapaswa kuelekeza hasira yake…
Iran Yaweka Masharti 5 Kabla ya Kuendelea Mazungumzo na Marekani.
Chanzo kimoja chenye taarifa kimesema kuwa Iran haitashiriki duru ya pili ya mazungumzo na Marekani hadi pale masharti matano ya kujenga imani yatakapotekelezwa. Kwa mujibu wa chanzo hicho, masharti hayo…
Ombachi Kumkaribisha Emmanuel Macron – Je, Ni Mafanikio ya Kitaaluma au Usaliti wa Kisiasa?
Hivi karibuni, mtandao umelipuka kwa mjadala mkali kufuatia taarifa kwamba Dennis Ombachi, mpishi maarufu wa Kenya anayetambulika duniani kwa mapishi yake ya kwenye roshani (balcony), kumkaribisha Rais wa Ufaransa, Emmanuel…
Falme za Kiarabu Zathibitishwa Kutekeleza Mashambulizi ya Kijeshi Dhidi ya Iran
Katika ufichuzi mpya ambao umezua mshituko katika ukanda wa Mashariki ya Kati, gazeti maarufu la Wall Street Journal limeripoti kuwa nchi ya Falme za Kiarabu (UAE) imekuwa ikitekeleza msururu wa…
Mvutano wa nyuklia: Iran yagomea pendekezo la Marekani lakuhamisha Urani nje ya nchi
Kwa mujibu wa chanzo cha Iran kilichonukuliwa na Al Jazeera, Washington iliwasilisha pendekezo linalodai kupatiwa urani iliyoboreshwa kwa kiwango cha juu cha asilimia 60.Chanzo hicho kilieleza kuwa Washington ilikataa mpango…
Ukraine yaiomba Ulaya kufufua juhudi za amani na Urusi
Ukraine imeitaka Ulaya kusaidia kufufua juhudi za amani zilizokwama na Urusi kwa kupendekeza hatua ya awali ya pamoja — usitishaji wa mashambulizi katika viwanja vya ndege vya pande zote mbili.…
Marekani Yaonyesha Nguvu kwa Kufichua Manowari ya Nyuklia Karibu na Iran.
Marekani Yatangaza Kuwasili kwa Manowari ya Nyuklia Gibraltar. Jeshi la Wanamaji la Marekani limethibitisha hadharani kuwasili kwa manowari ya makombora ya balistiki ya daraja la Ohio katika eneo la Gibraltar,…
Waziri Mkuu wa Uingereza: Katu Sitawahi kuingia vitani na Iran
Waziri Mkuu wa Uingereza amesema kuwa nchi yake haitajiunga katika vita na Iran. Akizungumza kuhusu suala hilo, Keir Starmer alisisitiza kuwa serikali yake haitaruhusu Uingereza kuingia katika mgogoro wa kijeshi…