Asilimia kubwa ya Wamarekani wamelaani vita vya Trump dhidi ya Iran, 61% wasema la
Kura ya maoni ya The Washington Post–ABC–Ipsos inaonyesha kuwa Wamarekani wengi wanaona vita vya Trump na Iran vibaya, huku 61% wakiita kuwa ni makosa na ni idadi ndogo tu wanaona…
Joseph Kabila amelaani vikwazo vya Marekani, asema sio halali
Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Joseph Kabila, amelaani vikwazo vya Marekani dhidi yake kwa madai ya kuwaunga mkono waasi wa AFC/M23 mashariki mwa Kongo na kuvitaja…
Trump kuhusu Iran: kama lingekuwa pambano la masumbwi, lingesitishwa mara moja
Rais wa Marekani, Donald Trump, ametoa matamshi mapya kuhusu Iran, akisisitiza msimamo mkali juu ya suala la nyuklia pamoja na maendeleo ya hali ya kiusalama katika eneo la Ghuba.Trump amesema…
Mojtaba Khamenei: Iran itaweka ‘kanuni mpya’ katika mlango wa bahari wa Hormuz
Ayatullah Seyyed Mojtaba Khamenei, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, ametangaza mwanzo wa “sura mpya” kwa Mlango Bahari wa Hormuz, njia ya kimkakati ya baharini. Aidha amesisitiza kuwa Iran itaweka kanuni…
Utafiti waonyesha asilimia 47 ya Wanademokrasia wanaamini jaribio la kumuua Trump lilipangwa
Gazeti moja nchini Marekani limeripoti kuwa utafiti mpya wa Taasisi ya Manhattan umeonesha matokeo ya kushangaza kuhusu mtazamo wa wanachama wa chama cha Democratic kufuatia jaribio la kumuua rais, Donald…
Medvedev: Malumbano ya Marekani na Ulaya ni ushindi mkubwa kwa Urusi
Naibu Mwenyekiti wa Baraza la Usalama la Urusi, Dmitry Medvedev, amesema kuwa mvutano unaoendelea kati ya Marekani na nchi za Ulaya unaweza hatimaye kupelekea ushindi kwa Urusi. Akizungumza kuhusu hali…
Ni kwanini Israeli iliundwa?
Mwamko wa Kiislamu ni mwanzo wa mwisho wa nchi za Magharibi na kuhodhishwa kwake katika utawala wa dunia, hivyo basi, kuchunguza vipimo vya uungaji mkono wa nchi zote za Magharibi…
Mpango wa Trump kuhusu Gaza waanza kufeli; kituo cha CMCC kufungwa
WASHINGTON – Mpango wa amani wa Rais Trump nchini Gaza unaonekana kulegalega kufuatia uamuzi wa Marekani wa kufunga kituo chake kikuu cha uratibu wa kijeshi (CMCC). Hatua hii inajiri huku…
Mmiliki wa Telegraph na Politico, Mathias Döpfner, amewaambia waandishi wa habari kwamba lazima waiunge mkono Israel au wajiuzulu, jambo lililozua madai ya kuingilia uhuru wa uhariri.
Mmiliki wa Telegraph na Politico, Mathias Döpfner, amewaambia waandishi wa habari kwamba lazima waiunge mkono Israel au wajiuzulu, jambo lililozua madai ya kuingilia uhuru wa uhariri. Wakati wa mkutano wa…
Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani Washuka kwa Kiwango cha Chini Zaidi katika Miaka 25
Uhuru wa vyombo vya habari duniani umeshuka hadi kiwango chake cha chini zaidi katika kipindi cha miaka 25, kulingana na ripoti ya Reporters Without Borders. Kwa mara ya kwanza, zaidi…