Skip to content
  • Jtn. Septemba 16th, 2026

Utaridi CI Media

Habari Ndani ya Sayari.

  • KIMATAIFA
  • MASHARIKI YA KATI
  • AFRIKA
  • UCHAMBUZI
  • MAONI
  • MICHEZO
  • KUTUHUSU
Top Tags
  • utaridi
  • habari
  • Marekani
  • Masharikiyakati
  • Iran
  • Israel
  • Trump

Hivi Punde

Picha Zafichua Uharibifu Mkubwa Kwenye Kambi za Marekani Yemen Yakanusha Madai ya Mpango wa Kushambulia Makkah Ujerumani Yaitaka Iran Kufungua Hormuz, Yaonya Kuhusu Ansarullah Hegseth Awafuta au Kuzuia Kupandishwa Vyeo Maafisa 80 wa Juu Iran: Hakuna Mazungumzo na Marekani Hadi Masharti Yetu Yatimizwe
KIMATAIFA

Picha Zafichua Uharibifu Mkubwa Kwenye Kambi za Marekani

16/09/2026
MASHARIKI YA KATI

Yemen Yakanusha Madai ya Mpango wa Kushambulia Makkah

15/09/2026
KIMATAIFA

Ujerumani Yaitaka Iran Kufungua Hormuz, Yaonya Kuhusu Ansarullah

15/09/2026
KIMATAIFA

Hegseth Awafuta au Kuzuia Kupandishwa Vyeo Maafisa 80 wa Juu

15/09/2026
MASHARIKI YA KATI

Iran: Hakuna Mazungumzo na Marekani Hadi Masharti Yetu Yatimizwe

15/09/2026
  • Hivi punde
  • Maarufu
  • Afrika
Picha Zafichua Uharibifu Mkubwa Kwenye Kambi za Marekani
KIMATAIFA
Picha Zafichua Uharibifu Mkubwa Kwenye Kambi za Marekani
Yemen Yakanusha Madai ya Mpango wa Kushambulia Makkah
MASHARIKI YA KATI
Yemen Yakanusha Madai ya Mpango wa Kushambulia Makkah
Ujerumani Yaitaka Iran Kufungua Hormuz, Yaonya Kuhusu Ansarullah
KIMATAIFA
Ujerumani Yaitaka Iran Kufungua Hormuz, Yaonya Kuhusu Ansarullah
KIMATAIFA
Hegseth Awafuta au Kuzuia Kupandishwa Vyeo Maafisa 80 wa Juu
Ni nani Deogratius John Ndejembi aliyeteuliwa kuchukua nafasi ya makamu wa rais wa Tanzania?
AFRIKA
Ni nani Deogratius John Ndejembi aliyeteuliwa kuchukua nafasi ya makamu wa rais wa Tanzania?
Hillary Clinton: Serikali ya Netanyahu Ilishindwa Kuwalinda Waisraeli
KIMATAIFA
Hillary Clinton: Serikali ya Netanyahu Ilishindwa Kuwalinda Waisraeli
Hormuz: Marekani Yaratibu Hatua za Pamoja Kukabiliana na Iran
MASHARIKI YA KATI
Hormuz: Marekani Yaratibu Hatua za Pamoja Kukabiliana na Iran
Sheikh Naim: Iran, Mhusika Muhimu Katika Kusitishwa kwa Mapigano Lebanon
MASHARIKI YA KATI
Sheikh Naim: Iran, Mhusika Muhimu Katika Kusitishwa kwa Mapigano Lebanon
Mudavadi: Wafanyabiashara Wageni Wenye Vibali Watalindwa Kenya
AFRIKA
Mudavadi: Wafanyabiashara Wageni Wenye Vibali Watalindwa Kenya
Mufti Zubeir: Eda ya Rais Samia Haizuii Majukumu ya Lazima
AFRIKA
Mufti Zubeir: Eda ya Rais Samia Haizuii Majukumu ya Lazima
Licha ya Pingamizi la Marekani Ramani Inayoakisi Ukubwa Halisi wa Afrika yapitishwa UN
AFRIKA
Licha ya Pingamizi la Marekani Ramani Inayoakisi Ukubwa Halisi wa Afrika yapitishwa UN
UN kupigia kura ramani mpya inayoonyesha ukubwa halisi wa Afrika
AFRIKA
UN kupigia kura ramani mpya inayoonyesha ukubwa halisi wa Afrika
MASHARIKI YA KATI

Falme za Kiarabu (UAE) zimeripotiwa kuwakamata na kuwafukuza maelfu ya wafanyakazi wa Pakistan

10/05/2026

Falme za Kiarabu (UAE) zimeripotiwa kuwakamata na kuwafukuza maelfu ya wafanyakazi wa Pakistan muda mfupi baada ya Pakistan kusaidia kupatanisha usitishaji wa mapigano kati ya Marekani na Iran. Kulingana na…

MASHARIKI YA KATI

Jenerali Abdollahi akutana na Amiri Mkuu wa Majeshi, awasilisha ripoti ya utayari wa vikosi vya Iran

10/05/2026

Jenerali Abdollahi, Kamanda wa Makao Makuu ya Khatam‑al‑Anbiya, amekutana na Amiri Mkuu wa Majeshi, Ayatollah Sayyid Mojtaba Khamenei, na kuwasilisha ripoti kuhusu kiwango cha utayari wa vikosi vya ulinzi vya…

KIMATAIFA

Waziri Mkuu wa India, Narendra Modi Atoa Wito Kupunguza Matumizi ya Petroli na Dizeli nchini India.

10/05/2026

Waziri Mkuu wa India, Narendra Modi, amewahimiza wananchi kupunguza matumizi ya petroli na dizeli kwa kuhamasisha matumizi ya usafiri wa umma na njia mbadala za nishati. Katika wito wake, Modi…

AFRIKA UCHAMBUZI

Ghana yakataa dili nono ya Amerika kutokana na hitaji la kufichua data za raia

10/05/2026

Utawala wa Rais John Dramani Mahama ulikataa mpango ambapo uliihitaji kupata msaada wa kifedha kwa kuipa Amerika data yake muhimu ya kiafya.Suala hilo hilo lilizima mazungumzo kati ya Amerika na…

KIMATAIFA

Marekani yadai kumnasa jasusi wa China akijaribu kumhonga msaidizi wa bunge la Marekani

10/05/2026

WASHINGTON — Mwanaume aliyedai kuwa mfanyabiashara kutoka Hong Kong anaripotiwa kumkaribia msaidizi wa bunge la Marekani kwa lengo la kupata taarifa za siri kuhusu sera ya Marekani dhidi ya China,…

AFRIKA KIMATAIFA

Macron na Ruto wasaini makubaliano katika mkutano uliofanyika Ikulu ya Nairobi

10/05/2026

Macron na Ruto wasaini makubaliano katika mkutano uliofanyika Ikulu ya Nairobi, na kufanya mkutano wa pamoja na waandishi wa habari. Tarehe 10, Mei 2026

MASHARIKI YA KATI

CNN: Tathmini ya kijasusi ya Marekani inaonesha kwamba Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, licha ya kujeruhiwa, bado anaendelea kuamua mikakati ya nchi kwa siri.

10/05/2026

Mtandao wa CNN umeripoti kuwa tathmini ya kijasusi ya Marekani inaonyesha kwamba Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu bado anaendelea kuelekeza mikakati ya Iran licha ya kuripotiwa kujeruhiwa. Kwa mujibu wa…

KIMATAIFA

Baada ya onyo la Iran, Macron akana mpango wa kupeleka meli za kivita Hormuz

10/05/2026

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amesema kuwa nchi yake haikuwahi kupanga kupeleka vikosi vya majini katika Mlango wa Hormuz. Badala yake, amesema Ufaransa ilikuwa inapendekeza ujumbe wa usalama wa kidiplomasia…

KIMATAIFA MASHARIKI YA KATI

Iran yaonya Ufaransa na Uingereza dhidi ya kupeleka manowari katika Mlango wa Hormuz.

10/05/2026

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayeshughulikia masuala ya kisheria na kimataifa, Kazem Gharibabadi, ameonya Ufaransa na Uingereza dhidi ya kupeleka manowari katika Mlango wa Hormuz, akisisitiza kuwa…

KIMATAIFA MASHARIKI YA KATI

Waziri wa Mambo ya Nje Abbas Araghchi amesisitiza haja ya kuimarisha na kupanua uhusiano wa pande mbili na Vietnam.

10/05/2026

Balozi mpya wa Iran nchini Vietnam, Javad Ghasemi, amekutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, siku ya Jumapili kabla ya kuondoka kuelekea Hanoi kuanza rasmi majukumu…

Machapisho utaftaji

1 … 52 53 54 … 65

Utaridi CI Media

Habari Ndani ya Sayari.

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • SERA YA UHARIRI
  • SERA YA MAREKEBISHO
  • FARAGHA
  • WASILIANA NASI
  • MATANGAZO NA USHIRIKIANO