Trump aendeleza Mashambulizi yake dhidi ya kiongozi wa Ujerumani
Rais wa Marekani Donald Trump ameendelea kumkosoa vikali Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz, katika chapisho lake la Truth social akisema kwamba anapaswa kuelekeza juhudi zaidi katika jitihada za kukomesha vita…
Chombo cha habari cha Kizayuni channel 12: Netanyahu amekuwa alama ya “Shetani”
Chombo cha habari cha kiisraeli "Channel 12" katika uchambuzi wake kimeashiria kuporomoka pakubwa kwa nafasi ya Israel katika kiwango cha kimataifa. Katika uchambuzi huo, mtandao huo umekiri kuwa jina la…
Msafara wa Sumud Flotilla: Wanaharakati 18wa Uturuki wakamatwa na Israel
Jeshi la Israel limezuia msafara wa Global Sumud Flotilla katika maji ya kimataifa, na kukamata meli 21, kulingana na waandaaji wa msafara huo.Takribani wanaharakati 175, wakiwemo raia wa Uturuki, walikamatwa,…
Trump asema Marekani inachunguza uwezekano wa kupunguza wanajeshi nchini Ujerumani
Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema kupitia mtandao wake wa Truth Social kwamba Marekani kwa sasa inachunguza na kutathmini uwezekano wa kupunguza idadi ya wanajeshi wake walioko nchini Ujerumani. Ameongeza…
Mazungumzo ya Simu kati ya Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Kenyaa
Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Seyed Abbas Araghchi, leo Jumatano amefanya mazungumzo ya simu na Musalia Mudavadi, Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya…
Afisa wa Iran Mohsen Rezaei aonya Marekani dhidi ya kuanzisha tena vita
Afisa wa Iran, Mohsen Rezaei, alisema kuwa chaguo lenye madhara madogo zaidi kwa Marekani ni kukubali masharti kumi ya Iran. Alionya kwamba ikiwa Marekani itaanza tena vita, itakuwa janga kwa…
USS Gerald R. Ford itaondoka Mashariki ya Kati katika siku zijazo
USS Gerald R. Ford itaondoka Mashariki ya Kati katika siku zijazo. Meli ya kubeba ndege USS Gerald R. Ford inatarajiwa kuondoka Mashariki ya Kati na kuanza kurejea Marekani katika siku…
Ripoti: Sababu za Iran Kutoonyesha Dalili za Kurudi Nyuma
Jarida la Marekani la Foreign Policy limeangazia sababu zinazoeleza kwa nini Iran haijaonyesha dalili za kurudi nyuma licha ya shinikizo la kimataifa.
Kundi la Kiyahudi laingiza maandishi ya Taurati katika eneo la Msikiti wa Al-Aqsa kwa mara ya kwanza, likizua mjadala juu ya hali ya sasa ya eneo hilo
Kundi la Kiyahudi lenye misimamo mikali liliingiza maandishi ya maombi ya Taurati yanayohusishwa na “Hekalu Takatifu” ndani ya eneo la Msikiti wa Al-Aqsa, kwa mara ya kwanza, ikiripotiwa kwa idhini…
Mahakama nchini Afrika Kusini yamtimua mtoto wa aliyekuwa rais wa Zimbabwe Robert Mugabe
Mahakama nchini Afrika Kusini yamtimua mtoto wa aliyekuwa rais wa Zimbabwe Robert Mugabe